paka_wa_Simba
Member
- Jan 23, 2021
- 51
- 114
Posho ipo mkuuShida hamna kikubwa SI posho ipo uhakika SI ndio pelekeni
Sawaa, Ila umeshaelewa MwalimuSiyo mahali ni Mahari.
Shukrani,, nakuchek nikuunganishe nae! Ila kama upo DomSidhani kama kuna shida kubadili Mshenga, kuna mmoja naye tokea siku ya kujitambulisha kwa Wakwe mara ya kwanza hadi ndoa kufungwa kulikuwa na washenga watatu hii ilitokea kwasababu ya majukumu yaliyokuwa yanamkabili Mshenga wa kwanza.
Shukrani Sana!!Haina tabu hiyo anabadili tu
[emoji120][emoji120]Shukrani Sana!!
Hahaha [emoji3][emoji3]Anabadilishwa Rais sembuse Mshenga?
Kwa style hii mshenga anabadilishwa panapohitajikaAnabadilishwa Rais sembuse Mshenga?