D De black Member Joined Jul 7, 2013 Posts 52 Reaction score 0 Feb 8, 2014 #1 Habari wakuu.. Naomba mwenye kujua anisaidie,mm nasoma chuo kimoja hv kozi ya BBA,lakn nmekutana na changamoto znazonkwamisha katika masomo yng sasa ngependa kujua je inawezekana kuhama chuo baada ya mwaka wa kwanza?na ni taratibu zipi nifuate?
Habari wakuu.. Naomba mwenye kujua anisaidie,mm nasoma chuo kimoja hv kozi ya BBA,lakn nmekutana na changamoto znazonkwamisha katika masomo yng sasa ngependa kujua je inawezekana kuhama chuo baada ya mwaka wa kwanza?na ni taratibu zipi nifuate?
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 70,916 Reaction score 141,437 Feb 8, 2014 #2 hiyo hamnaga labda uache halafu utaaply upya mwaka mwingine
D De black Member Joined Jul 7, 2013 Posts 52 Reaction score 0 Feb 8, 2014 Thread starter #3 Evelyn Salt said: hiyo hamnaga labda uache halafu utaaply upya mwaka mwingine Click to expand... Asante mkuu
Evelyn Salt said: hiyo hamnaga labda uache halafu utaaply upya mwaka mwingine Click to expand... Asante mkuu
M mwanahapa Member Joined Dec 18, 2013 Posts 56 Reaction score 11 Feb 8, 2014 #4 Ndo matatizo ya kutokujiamin na machagulio yako kazana soma hakuna bure bila juhudi binafsi