Hyo biashara unayotaka kuanzisha kwa mkopo ni gani..... mikopo ni mizuri kama unayobiashara tayari na unataka kuboresha tu
mkuu hati ya wizara ya ardhi, yaani ya kiwanja kilichopimwa au ni hati ya kimila?Mkuu kwa hiyo unanishauri niachane na mikopo kwanza,biashara nnayotaka kufanya ni ya used spairs parts za magari.
Salaam.
Mimi ni mgeni katika mambo ya mikopo sijawai kukopa benki yoyote,nimekua nna nia ya kuchukua mkopo benki nnayo hati ya kiwanja tu,afu kwa sasa sina biashara yoyote as in hiyo hela nikiipata ndo nataka niitumie kama mtaji,naitaji kujua kwa nmb naweza kupata huo mkopo?ama kama kuna benki yoyote naweza kupewa mkopo kwa vigezo vyangu.
Asantrni in advance.
Hyo biashara unayotaka kuanzisha kwa mkopo ni gani..... mikopo ni mizuri kama unayobiashara tayari na unataka kuboresha tu
Ingekua vyema kama ungeanza mwenyewe kwanza hata kwa kujibana kisha ukajua ups and downs za hyo business ndio ukaingia kwenye mikopo kwa ajili ya kujiimarisha zaidi...maana biashara ya used spare parts kama huna utaalamu nayo pia inaweza kukugharimu zaidi..ni ushauri tu lakini mkuu,maamuzi bado yanabaki kwakoMkuu kwa hiyo unanishauri niachane na mikopo kwanza,biashara nnayotaka kufanya ni ya used spairs parts za magari.
Mkuu kwa hiyo unanishauri niachane na mikopo kwanza,biashara nnayotaka kufanya ni ya used spairs parts za magari.