mathmartboy
Member
- Sep 9, 2016
- 5
- 0
Jaman naombeni msaada ,eti kunauwezekano wakumpa mimba Mdada endapo utakutana nae sikumoja kabla ya kuona hedhi .
Au siku ya tano baada ya kubleed .
Au siku ya tano baada ya kubleed .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mimba hapo mkuuJaman naombeni msaada ,eti kunauwezekano wakumpa mimba Mdada endapo utakutana nae sikumoja kabla ya kuona hedhi .
Au siku ya tano baada ya kubleed .
Kama kuku, yani akipandwa tu ameshatunga yai hata kama sio siku ya hatariMmmmh inategemeana kuna wadada wapo complicated kweli,yote yawezekana
siku ya tano baada ya bleed ni siku ya hatari kabisa jamani mlikimbia biology kwanini ?ndio inawezekana mkuu... hasa hiyo ya siku 5 baada ya ku-bleed but na inategemea huyo huwa anableed kwa siku ngapi
Lala tu lakini siku ya tano baada ya bleeding haiwezi kuwa ya hatari. Unless ndio wale wanawake kama kuku tarehe hazisomeki. Siku tano baada ya bleeding inamaanisha ni siku ya 8-10 ya mzunguko sasa hatari sana hapo iko wapi?siku ya tano baada ya bleed ni siku ya hatari kabisa jamani mlikimbia biology kwanini ?
ngoja nilae nitakueleza kesho
sijaelewa unachomaanisha, , , , , but katika jibu unalowaza consider na siku ambazo sperm zitaendelea kuwa alive after being introduced into the vaginasiku ya tano baada ya bleed ni siku ya hatari kabisa jamani mlikimbia biology kwanini ?
ngoja nilae nitakueleza kesho
tuassume ni ya kumi .mbegu za kiume zinaishi muda gani?Lala tu lakini siku ya tano baada ya bleeding haiwezi kuwa ya hatari. Unless ndio wale wanawake kama kuku tarehe hazisomeki. Siku tano baada ya bleeding inamaanisha ni siku ya 8-10 ya mzunguko sasa hatari sana hapo iko wapi?
sperm zinaishi muda gani mkuu?sijaelewa unachomaanisha, , , , , but katika jibu unalowaza consider na siku ambazo sperm zitaendelea kuwa alive after being introduced into the vagina
well, chukulia concept yako, baada ya siku 5 za bleeding inaweza ikawa ni siku ya 10, sasa chukulia hiyo siku ya 11 ndio tendo likafanyika unadhani mpaka ovulation itokee hizo siku 3 zijazo hakutakuwa na sperms zilizo hai?Lala tu lakini siku ya tano baada ya bleeding haiwezi kuwa ya hatari. Unless ndio wale wanawake kama kuku tarehe hazisomeki. Siku tano baada ya bleeding inamaanisha ni siku ya 8-10 ya mzunguko sasa hatari sana hapo iko wapi?
ovulation ni siku ya 11 hadi 14 kutegemea na mzunguko.kuna mwezi inakuwa 21 mwingine 28 mwingine 35 a kama imeangukia 21 je?well, chukulia concept yako, baada ya siku 5 za bleeding inaweza ikawa ni siku ya 10, sasa chukulia hiyo siku ya 11 ndio tendo likafanyika unadhani mpaka ovulation itokee hizo siku 3 zijazo hakutakuwa na sperms zilizo hai?
baada ya kuingia kwa mwanamke zinaweza ishi mpaka siku 5sperm zinaishi muda gani mkuu?
siku tano sio kweli wanasema masaa 72baada ya kuingia kwa mwanamke zinaweza ishi mpaka siku 5
nini imeangukia siku ya 21 mkuu?ovulation ni siku ya 11 hadi 14 kutegemea na mzunguko.kuna mwezi inakuwa 21 mwingine 28 mwingine 35 a kama imeangukia 21 je?
yes ni siku za mzungukonini imeangukia siku ya 21 mkuu?
hizo 21, 28 & 35 ni siku za mzunguko, sasa sijakupa vizuri nini iangukie siku ya 21
kwanza nashkuru kwa kufahamu kuwa katika hiyo situation mimba inaweza itapatikana maana hicho ndio kilifanya nicomment humu baada ya kuona waliotangulia wanakataa...siku tano sio kweli wanasema masaa 72
sasa jumlisha hizo siku hapo kwenye siku tano baada ya bleed
siku ya 10,11,12,13,14,15,16 nadhani ni hatare hatare
sina uzoefu sana ila nachojua mbegu za kiume haziishi muda mrefu kiivokwanza nashkuru kwa kufahamu kuwa katika hiyo situation mimba inaweza itapatikana maana hicho ndio kilifanya nicomment humu baada ya kuona waliotangulia wanakataa...
na kusuhu lifespan ya sperm sina namna nyingine ya kukushawishi ukubaliane na jibu yangu maana mimi ninauhakika nalo, zinaweza zidi hayo masaa 72..
labda uingie google mkuu unaweza ukapata maelezo zaidi