Inawezekana kupata mkopo Benki kwa kutumia Offer ya kiwanja?

Inawezekana kupata mkopo Benki kwa kutumia Offer ya kiwanja?

thereitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2010
Posts
297
Reaction score
41
Jamani wanajamii naomba kueleweshwa kama kuna uwezekano wa kutumia offer ya kiwanja kama dhamana ya kukopa fedha bank. Je utaratibu ukoje?


Natanguliza shukrani?
 
Duh! man hiyo haiwezekani kwa sababu kuu moja hapo hakuna security. Benki wao wanachoitaji ni kuhakisha kwamba hawapotezi hata senti yao hata ukifa baada ya kukopa kwao. Na pia kiwanja baado sio chako na kama sio chako definitely huna document za mali isio hamishika. Hapo hakuna dhamana yenye jina lako.
May be the best option is lazima kuwe na understanding kati yako na mwenye kiwanja ambapo utatumia document za mwenye kiwanja na pia lazima atakuandikia barua kuonyesha kwamba amekubali kiwanja chake kiwe dhamana benki.
 
Duh! man hiyo haiwezekani kwa sababu kuu moja hapo hakuna security. Benki wao wanachoitaji ni kuhakisha kwamba hawapotezi hata senti yao hata ukifa baada ya kukopa kwao. Na pia kiwanja baado sio chako na kama sio chako definitely huna document za mali isio hamishika. Hapo hakuna dhamana yenye jina lako.
May be the best option is lazima kuwe na understanding kati yako na mwenye kiwanja ambapo utatumia document za mwenye kiwanja na pia lazima atakuandikia barua kuonyesha kwamba amekubali kiwanja chake kiwe dhamana benki.


Hajasema kama offer haipo kwa jina lake
 
kwa offer hupati mkopo,kwani hiyo ni document inajieleza kuwa ni Offer ya kupata kiwanja,ukishaproceed na kulipia gharama stahili,ndo unapewa hati ya kukodishwa kiwanja na jamhuri for 33yrs or whatever time
hapo huna jinsi malizia kulipa upate hati then uanze mbinu za kupata mkopo
 
kwa offer hupati mkopo,kwani hiyo ni document inajieleza kuwa ni Offer ya kupata kiwanja,ukishaproceed na kulipia gharama stahili,ndo unapewa hati ya kukodishwa kiwanja na jamhuri for 33yrs or whatever time
hapo huna jinsi malizia kulipa upate hati then uanze mbinu za kupata mkopo

Asante mkuu kwa ushauri wako. Nitajitahidi kufuatilia haki miliki ili nipate sifa za kukopesheka
 
Hata ukiwa na hati, kupata mkopo inakua vigumu mpaka paendelezwe. Logic ya mabenki ni kua ardhi ni mali ya serikali ukiwa una hati unapewa "right of occupancy" kwa muda wa 33yrs, maana yake ni serikali imekukodisha ile ardhi kwa muda huo. Ni rahisi zaidi ukiweka hata kabanda.
 
Jamani wanajamii naomba kueleweshwa kama kuna uwezekano wa kutumia offer ya kiwanja kama dhamana ya kukopa fedha bank. Je utaratibu ukoje?


Natanguliza shukrani?

Nenda Benki ya Wanawake TWB pale tawi lao la Mkwepu. Wao wanapokea offer ya Kiwanja kama dhamana ya Mkopo. ila inabidi uwe umeshafungua akaunti nao. Pia kuna organisation iko Mbezi na Sinza inaitwa BRAC. Nayo inapokea offer letter.
 
kwa offer hupati mkopo,kwani hiyo ni document inajieleza kuwa ni Offer ya kupata kiwanja,ukishaproceed na kulipia gharama stahili,ndo unapewa hati ya kukodishwa kiwanja na jamhuri for 33yrs or whatever time
hapo huna jinsi malizia kulipa upate hati then uanze mbinu za kupata mkopo

Inategemea offer yako ni ya muda gani? Sheria ya ardhi inasema kuwa ofa ikikaa zaidi ya mwaka mmoja automatically inabadilika na kuwa hati. Tafuta mwanasheria akueleze vizuri hiki kifungu.
 
Back
Top Bottom