wakuu huyu binti naishi naye nyumba moja ya kupanga, sasa namuona kaamka saa kumi alfajiri kidume kipo ndani kaanza kuosha vyombo hapo karoni kamaliza na sasa anafagia, hii sio kwawaida yake yeye huwa anaamka saa nne hasubuhi. mmmmh nahisi kuna tatizo,
wakuu huyu binti naishi naye nyumba moja ya kupanga, sasa namuona kaamka saa kumi alfajiri kidume kipo ndani kaanza kuosha vyombo hapo karoni kamaliza na sasa anafagia, hii sio kwawaida yake yeye huwa anaamka saa nne hasubuhi. mmmmh nahisi kuna tatizo,
mbaya zaidi yaelekea ni dume. Aibu sana, mwanaume unakuwa mbeya hivyoWatu wengine kwa umbea bwana. . .
Sasa mtu akiamka mapema ndio kuna tatizo?
Kwa hiyo unatufahamisha kua VAMPA=MBUFYA???wakuu huyu binti naishi naye nyumba moja ya kupanga, sasa namuona kaamka saa kumi alfajiri kidume kipo ndani kaanza kuosha vyombo hapo karoni kamaliza na sasa anafagia, hii sio kwawaida yake yeye huwa anaamka saa nne hasubuhi. mmmmh nahisi kuna tatizo,
Kwa hiyo unatufahamisha kua VAMPA=MBUFYA???
Kwa hiyo unatufahamisha kua VAMPA=MBUFYA???
Haya sasa,nahic harufu ya mgongano wa ID hapa,lol!
Hapo hakuna kutafuta mchawi aisee,hope ni makosa ya kiufundi tu leo yametokea, pole zake!Ambao hawakuja kwa nia nzuri wanajulikana tu, wambeaaaa mpaka wanagonganisha IDs!!