[emoji3525][emoji116]Taarifa hii haina uhusiano wowote na uzi huu ila ni vizuri kila Mtanzania afahamu kuwa jina la Hangaya lina maana ya nyota angavu ya asubuhi inayoonesha matumaini linasadifu nafasi ya Mhe. Rais Samia ambayo Watanzania wana matumaini makubwa kwa uongozi wake kwenye maendeleo yao na taifa kwa ujumla.
View attachment 1957479
[emoji3525][emoji116]View attachment 1957528
Hio haiwezekan bana kwa siku moja uongo
Yaani unamaanisha unaona kimba badala ya ubongo 😂😂 jamanii[emoji3525][emoji116]View attachment 1957528
Ugumu uko wapi mkuu kwa hawa viumbe wa sasa wepesi kama pamba.Kwa hali ya saivi ukiomba namba bado ngoma ngumu vile vile sijui kwa nn
IPO Sana hii hasa pale kila ukigeuza Shingo unakutana zile type unazozipendaga unaweza beba Kijiji Ila uwe Na ushawishi.Kama kichwa kinavyojieleza hapo, me kijana wa hovyo niko na swali
Hivi inawezekana kweli kwa kijana wa kiume kujipatia mademu zaidi ya mmoja ndani ya wiki moja?.. Yaani kutengeneza uhusiano na demu mpya ambae hajawahi kuonana nae hata kwa siku moja na mpaka kuwa wapenzi ndani ya wiki moja inawezekana kweli ?????
Kama inawezekana Nambie mbinu gani za haraka kiasi hko mnatumiaga, personally inaweza pita hata wiki 2 kwa dem mmoja