Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,227
Wakuu;
Nimetatizwa sana na zoezi la upigaji wa kura na utangazaji wa matokeo kuhusu bunge maalum la katiba na upitishwaji wa rasimu ya katiba.
Idadi ya wajumbe imeongezeka kutoka 624 (Kadri ya tovuti ya Bunge) hadi 630
Idadi ya wazanzibar imeogezeka toka 210 hadi 219....Hawa tisa wametoka wapi.
Kura za siri zimepigwa na kusemekana zote zimesema ndio.......
Kuna wajumbe tisa waliopiga kura ila majina yao hayajatajwa popote pale
Je matokeo yanaweza kuhojiwa mahakamani?
View attachment sheria na. 8 ya mabadiliko ya katiba 2 mach.pdf
Nimetatizwa sana na zoezi la upigaji wa kura na utangazaji wa matokeo kuhusu bunge maalum la katiba na upitishwaji wa rasimu ya katiba.
Idadi ya wajumbe imeongezeka kutoka 624 (Kadri ya tovuti ya Bunge) hadi 630
Idadi ya wazanzibar imeogezeka toka 210 hadi 219....Hawa tisa wametoka wapi.
Kura za siri zimepigwa na kusemekana zote zimesema ndio.......
Kuna wajumbe tisa waliopiga kura ila majina yao hayajatajwa popote pale
Je matokeo yanaweza kuhojiwa mahakamani?
View attachment sheria na. 8 ya mabadiliko ya katiba 2 mach.pdf