Habari wana forum,
Hivi inawezekana mtu ukawa unasomea degree ya kitu flani under TCU at the same time unasoma diploma katika taaluma nyingine under NACTE,
Mfano unasoma degree ya electrical engineering DIT at the same time unasoma diploma ya business admn CBE.
Vip kisheria hii ikoje wakuu.
Nawasilisha.