mbenathadeus
New Member
- Dec 29, 2011
- 3
- 0
Habari wanajamii!,tafadhali naomba kujuzwa kama inawezekana kuuza ardhi ambayo nimenunua kwa mtu na nipo kwenye hatua za mwisho za kuaptiwa hati mpya kwa maana nimefanya transfer.nimepata mteja ambaye anataka kununua ardhi hii tena toka kwangu je sheria za ardhi zinaruhusu kumuuzia mteja huyu kabla sijamalizia process za transfer?.
Habari wanajamii!,tafadhali naomba kujuzwa kama inawezekana kuuza ardhi ambayo nimenunua kwa mtu na nipo kwenye hatua za mwisho za kuaptiwa hati mpya kwa maana nimefanya transfer.nimepata mteja ambaye anataka kununua ardhi hii tena toka kwangu je sheria za ardhi zinaruhusu kumuuzia mteja huyu kabla sijamalizia process za transfer?.
Habari wanajamii!,tafadhali naomba kujuzwa kama inawezekana kuuza ardhi ambayo nimenunua kwa mtu na nipo kwenye hatua za mwisho za kuaptiwa hati mpya kwa maana nimefanya transfer.nimepata mteja ambaye anataka kununua ardhi hii tena toka kwangu je sheria za ardhi zinaruhusu kumuuzia mteja huyu kabla sijamalizia process za transfer?.