Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
habari za asubuhi wana mmu, ni mwaka umepita tangu nikutane na huyu kaka. naweza kusema ni wa kawaida sana, yan kimaisha,elimu na muonekano pia. nilikutana naye tukiwa tunasoma koz flan.alionesha nia ya kunitaka kimapenzi ila nilimkatalia kwa sababu binafsi. baada ya kumaliza kozi hakukata tamaa, aliendelea kuwa karibu na sasa tunaelekea kuwa wapenzi. ukaribu wetu umenifanya nigundue kuwa hatuendani kwa kiasi kikubwa, hana upeo wa vitu vingi, hatuendani hata kidogo. je nawezaje kuwa nae ktk hali kama hii?