inawezekana kuwa na mpenzi unayemzidi upeo?

inawezekana kuwa na mpenzi unayemzidi upeo?

Nyakwaratony

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2011
Posts
573
Reaction score
140
habari za asubuhi wana mmu, ni mwaka umepita tangu nikutane na huyu kaka. naweza kusema ni wa kawaida sana, yan kimaisha,elimu na muonekano pia. nilikutana naye tukiwa tunasoma koz flan.alionesha nia ya kunitaka kimapenzi ila nilimkatalia kwa sababu binafsi. baada ya kumaliza kozi hakukata tamaa, aliendelea kuwa karibu na sasa tunaelekea kuwa wapenzi. ukaribu wetu umenifanya nigundue kuwa hatuendani kwa kiasi kikubwa, hana upeo wa vitu vingi, hatuendani hata kidogo. je nawezaje kuwa nae ktk hali kama hii?
 
Saa nyingine na yeye anakuona we ni Zero wake kweli binadamu tunapishana sasa we umejuaje kama umemzidi upeo.Upole/ukinya tofauti ni uzezeta.

hahaa! umenichekesha billie. nasema hivyo kwa maana kwamba kuna vitu ambavyo huwa anaongea ni local sana hana exposure kabisa! ama ni mshamba flani labda niseme hivyo. pia kuna baadhi ya mambo hajui yaani namuelekeza mambo mengi hadi ananikera. ukimbana na maswali kidogo anashindwa kujieleza mpaka ananibore.
 
Duh! Sisi wenye upeo mdogo hatutapata wenza
 
Upeo wanini? Interest baina ya wapenzi zina tofautiana ww interest yako inawezakua kubwa katika ki2 ambacho unakitaka na yeye anaupeo mkubwa katika kitu ambacho yupo interested nacho
 
Sasa hamuendani hata kidogo unataka nini kwake?


*Samahani, ila upeo umeupimaje pimaje?

haelewi mambo mengi, mfano issue za ujasiriamali, nini kanaendelea duniani, siasa. in short hayupo updated kabisa. ni mshamba mshamba tu
 
habari za asubuhi wana mmu, ni mwaka umepita tangu nikutane na huyu kaka. naweza kusema ni wa kawaida sana, yan kimaisha,elimu na muonekano pia. nilikutana naye tukiwa tunasoma koz flan.alionesha nia ya kunitaka kimapenzi ila nilimkatalia kwa sababu binafsi. baada ya kumaliza kozi hakukata tamaa, aliendelea kuwa karibu na sasa tunaelekea kuwa wapenzi. ukaribu wetu umenifanya nigundue kuwa hatuendani kwa kiasi kikubwa, hana upeo wa vitu vingi, hatuendani hata kidogo. je nawezaje kuwa nae ktk hali kama hii?

Ukweli kwamba umekaa naye muda wote huo unaonyesha kakupita upeo, kinyume na unavyotaka tuamini.
 
hivi Mida Hii Upeo Ndio Nguzo Na Kipimo Cha Mpenzi?
Huruma Kwetu Ma-0brain!
 
haelewi mambo mengi, mfano issue za ujasiriamali, nini kanaendelea duniani, siasa. in short hayupo updated kabisa. ni mshamba mshamba tu

haya Banah Utampata Huyo Mwenye Upeo Mwenzako...Naye Akushushe Vyeo!
 
hahaa! umenichekesha billie. nasema hivyo kwa maana kwamba kuna vitu ambavyo huwa anaongea ni local sana hana exposure kabisa! ama ni mshamba flani labda niseme hivyo. pia kuna baadhi ya mambo hajui yaani namuelekeza mambo mengi hadi ananikera. ukimbana na maswali kidogo anashindwa kujieleza mpaka ananibore.

Kama unampenda vunja ukimya muambie dia plz uwe unajiUPDATE jiunge fb,na jf.
 
Jaman haya mambo yapo. Mimi nilmpata kijana ambae nimemzid elimu, nikafikiri kama wewe kwamba upeo wake upo chin. Lkn kwa sababu nilimpenda baadaye nilkuja gundua ni mazingira aliyopo. Kama haitosh alinificha hata umri wake (kumbe nimemzidi mwaka mmoja) lkn baada ya kuleta barua na kujtambulisha nyumban. Aliniita na kuniambia ukwel (kuhusu umri wake). Akasema aliogopa kunieleza mapema kwa kuhisi ningemkataa. Sikujisikia vizuri lkn baadaye niliamua kukubali matokeo.
 
saa nyingine na yeye anakuona we ni zero wake kweli binadamu tunapishana sasa we umejuaje kama umemzidi upeo.upole/ukinya tofauti ni uzezeta.

sasa kama umeisha kua nahiyo rugha uko muendako mtafika kweli ???? Tafakali kabla ya kuamua pole
 
haelewi mambo mengi, mfano issue za ujasiriamali, nini kanaendelea duniani, siasa. in short hayupo updated kabisa. ni mshamba mshamba tu

dunia ina mambo kwanza umeshamchoka mapema .......sasa kama huendani nae unamtaka wa nini achana nae atampata mshamba mwenzake
 
Back
Top Bottom