inawezekana kuwa na mpenzi unayemzidi upeo?

haelewi mambo mengi, mfano issue za ujasiriamali, nini kanaendelea duniani, siasa. in short hayupo updated kabisa. ni mshamba mshamba tu

mshamba mshamba tu? lol
but atakuwa 'good in bed' lol
vinginevyo wamtakia nini?
wewe umeshakuwa 'dickmatized' wewe lol
 
haelewi mambo mengi, mfano issue za ujasiriamali, nini kanaendelea duniani, siasa. in short hayupo updated kabisa. ni mshamba mshamba tu

Namhurumia kwa kuwa nawe muda wote huo.

Kweli humpendi lakini hata heshima huna?

Maneno mengine yanaonyesha zaidi wewe ulivyo kuliko alivyo yeye
 
sasa upeo gani,wa kimaisha au utandawazi,fafanua coz kama hana upeo wa mbali maana yake alimtafuta mtu ambaye anahisi wanaendana ambaye ndo wewe,navyohisi.
 
Namhurumia kwa kuwa nawe muda wote huo.

Kweli humpendi lakini hata heshima huna?

Maneno mengine yanaonyesha zaidi wewe ulivyo kuliko alivyo yeye

ukisoma post yangu ya kwanza utaelewa kwamba ndio tunaelekea kuwa wapenzi na sio kwamba ni wapenzi tayari.
 
ukisoma post yangu ya kwanza utaelewa kwamba ndio tunaelekea kuwa wapenzi na sio kwamba ni wapenzi tayari.

Wapenzi kwako inamaana gani?

Maana mie nimetumia neno "kumpenda" na sio "wapenzi"
 
Hawa nao kwa kujitutumua tu.

Ungekuwa na upeo ungekuja kuomba ushauri JF?

Ungekuwa na upeo ungepigwa bao siku zote hizo na mtu asiye upeo?
 
ahahahahahaaaaaa....my god. you ladies bana...

MUngu awapeni nini jamani???..mkipewa ma-hndsome mnalalamika wanawa-cheat wanatoka nje ya ndoa, mkipewa ma-genious mnalalamika ohh mwanaume anajua kila kituuu mpaka simu yangu kaiseti gps kila saa akinipigia nashindwa hata kudanganya coz anaingiza coordinates na kuniambia niko sehemu flan, mkipewa wenye kipato "MA-PEDESHEE" mnalalamika wananunulia na kujengea majumba malaya zao mitaani

mkipewa " WASHAMBA" ili sasa na nyie mupate ma-mbwiga ya kuwaburuza na ku-exercise a liltle "mfumo jike" NALO MNALALAMIKA ohh eti hayupo updated mara ohhh hatuendani namzidi upeo...bulllll---T-shittttt.

MWANADAMU HATOSHEKI HATA UKIMPA NINI MILELE HATORIDHIKA
 
Inawezekana kuwanaye na nijukum lako kumpa uelewa zaid ktk mambo ambayo unahc upeo wake unaonekana kuwa mdogo. Naiman hata wewe kunavitu ambavyo utahtaji kuvijua kutoka kwake so mi nadhani mnaweza kuwa pamoja huku mkizidi kupeana elimu katika yale magen kwenu nyote.
 
 
mshamba mshamba tu? lol
but atakuwa 'good in bed' lol
vinginevyo wamtakia nini?
wewe umeshakuwa 'dickmatized' wewe lol

umeona enh!na ushamaba wake si ajabu ni mzuri sana kitandani,sasa sijui wanafikiri ideal men hawana mapungufu,ngoja awatafute wenye upeo aone nao mapungufu yao na wao then atakuja hapa kuomba ushauri ''jamani hivi kweli mtu mpenzi wako akijua kila kitu sio tatizo kweli?''
 
Hawa nao kwa kujitutumua tu.

Ungekuwa na upeo ungekuja kuomba ushauri JF?

Ungekuwa na upeo ungepigwa bao siku zote hizo na mtu asiye upeo?

soma post yangu ya kwanza. nimesema tunaelekea kuwa wapenzi
 

asante kwa busara zako.
 

shangaa ....lol
 
Umenishangaza sana kusema mpenzi wako hana upeo kama wewe na ni mshamba mshamba..
Na zaidi umejichanganya ulivoongelea kuwa kutojua mambo ya ujasiliamali na events za kila siku as ndio ushamba wenyewe..Kama ndiyo hayo una'refer' kama upeo umechemka aisee..Hayo mambo uliyotaja kwa muda wowote mtu anaweza jifunza na kuyaelewa..Na mtu hawi perfect kwa kila idara..Kama unampenda mrekebishe kwa kadiri ya upeo wako unaoujua...

Vinginevyo ntaona kama unacheza makidamakida..By the way hivi mwanamke akiwa na maarifa zaidi kwenye mahusiano ina hasara gani??..why you people always want to be dominated??
 
Last edited by a moderator:
Hao wenye upeo mdogo wanakuwaga noma kunako 6 kwa 6 believe me on that.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…