Njiwa wangu
Senior Member
- Dec 5, 2020
- 146
- 289
Habarini wadau,
Naomba kuuliza inawezekana kuzima sabufa au tv ukiwa mbali kwa kutumia mfumo wa gps or GSM track ? Je nini kinahitajika hapa na je unaweza andaa enterface kama site fulani hivi kwa ajili ya kuvifuatilia na endapo kuna mtu anatumia kwa makubaliano fulani asipotimiza mashart unamzimia?
Karibuni wajuvi na kama upo vizuri na unazurura mtaani huna kazi njoo PM tuyajenge.
Naomba kuuliza inawezekana kuzima sabufa au tv ukiwa mbali kwa kutumia mfumo wa gps or GSM track ? Je nini kinahitajika hapa na je unaweza andaa enterface kama site fulani hivi kwa ajili ya kuvifuatilia na endapo kuna mtu anatumia kwa makubaliano fulani asipotimiza mashart unamzimia?
Karibuni wajuvi na kama upo vizuri na unazurura mtaani huna kazi njoo PM tuyajenge.