Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,822
jamani eheee mimi mwenzenu kila nikiangalia vijana wenzangu walionitangulia naona wamerudi nyuma wakati nikifikiria kuhusu plan B katika maisha
nimejaribu kuangalia jamaa zangu waliokuwa wanafanya biashara wengi wanalalamika biashara zimekuwa ngumu, wamefunga biashara zao, nimejaribu kuangalia jamaa zangu walio katika kilimo wanalalamika mambo pembejeo, nimewangalia jamaa zangu ambao wameajiriwa wanalalamika mshahara hautoshi, nimejaribu kuangalia kila kona kila mtu anaongea lake
ivi kweli mambo yenyewe ndo haya ivi kuna kutoka hapa kimaisha kweliiii
nimejaribu kuangalia jamaa zangu waliokuwa wanafanya biashara wengi wanalalamika biashara zimekuwa ngumu, wamefunga biashara zao, nimejaribu kuangalia jamaa zangu walio katika kilimo wanalalamika mambo pembejeo, nimewangalia jamaa zangu ambao wameajiriwa wanalalamika mshahara hautoshi, nimejaribu kuangalia kila kona kila mtu anaongea lake
ivi kweli mambo yenyewe ndo haya ivi kuna kutoka hapa kimaisha kweliiii