jamani eheee mimi mwenzenu kila nikiangalia vijana wenzangu walionitangulia naona wamerudi nyuma wakati nikifikiria kuhusu plan B katika maisha
nimejaribu kuangalia jamaa zangu waliokuwa wanafanya biashara wengi wanalalamika biashara zimekuwa ngumu, wamefunga biashara zao, nimejaribu kuangalia jamaa zangu walio katika kilimo wanalalamika mambo pembejeo, nimewangalia jamaa zangu ambao wameajiriwa wanalalamika mshahara hautoshi, nimejaribu kuangalia kila kona kila mtu anaongea lake
ivi kweli mambo yenyewe ndo haya ivi kuna kutoka hapa kimaisha kweliiii
Nawe endelea kulalamika huku wenzio tunapiga hela katika zama hizi hizi za JPM
jamani eheee mimi mwenzenu kila nikiangalia vijana wenzangu walionitangulia naona wamerudi nyuma wakati nikifikiria kuhusu plan B katika maisha
nimejaribu kuangalia jamaa zangu waliokuwa wanafanya biashara wengi wanalalamika biashara zimekuwa ngumu, wamefunga biashara zao, nimejaribu kuangalia jamaa zangu walio katika kilimo wanalalamika mambo pembejeo, nimewangalia jamaa zangu ambao wameajiriwa wanalalamika mshahara hautoshi, nimejaribu kuangalia kila kona kila mtu anaongea lake
ivi kweli mambo yenyewe ndo haya ivi kuna kutoka hapa kimaisha kweliiii
Hakuna Awamu nzuri kama hii. Awamu hii kila mtu anaheshimiwa, wewe fanya kazi halali na kwa bidii uone mambo yako yanvyooka kwa sababu hakuna mtu wa kuja kukuuliza kuwa unamfahamu yeye ni nani !!!jamani eheee mimi mwenzenu kila nikiangalia vijana wenzangu walionitangulia naona wamerudi nyuma wakati nikifikiria kuhusu plan B katika maisha
nimejaribu kuangalia jamaa zangu waliokuwa wanafanya biashara wengi wanalalamika biashara zimekuwa ngumu, wamefunga biashara zao, nimejaribu kuangalia jamaa zangu walio katika kilimo wanalalamika mambo pembejeo, nimewangalia jamaa zangu ambao wameajiriwa wanalalamika mshahara hautoshi, nimejaribu kuangalia kila kona kila mtu anaongea lake
ivi kweli mambo yenyewe ndo haya ivi kuna kutoka hapa kimaisha kweliiii
duh!!Labla uwe unafanya safari za Uarabuni kwa sana
Ina maana hakuna kitu km freemason wa ndagu ya wakinga. Umiza kichwa kwa sana.ni vigumu sana kutoboa kwa hali iliyopo.Yani sasa hivi hata ukijiunga na Freemason au kufanya ndagu ya wakinga bado hutaweza kutoboa