Kazi ipo. [emoji23] [emoji23]Kwani kilo huwa zinagota umri gani?
Duuuuuh watanzania sisi ni swali juu ya swali...Kwani kilo huwa zinagota umri gani?
Inawezekana ndugu hats mimi nilikuwa na kilo 70 mwaka Wa 6 huu. Lakin kama wiki moja nyuma nilipima nina kilo 70 nikaa siku tatu au NNE mbele nikapima tens nina kilo 71 baada ya Siku NNE tena nikapima nina kilo 72 na vipimo vyote hivyo hutumia mizan ya aina moja tu. Hili si tatzo ndan ya siku chache kuongezeka kilokilo?Eti wataalam wa J.f naomba mniweke sawa hapa kilo zangu ni 67 huu mwaka wa Tano haziongezeki wala kupungua....naomba kama kuna mtu imemtokea hivi aniambie ili nijue au zimestack ,Afya yangu ni njema Tu wala sina wasiwasi na hilo..Huwa nafanya Full body check up.