Vile ppo umu wanavochat seems lyk weng mshakutana.... So mcje mkahc me ni robot kumbe ni bnadam kam nynyInaonekana wapi?
Nianze n ww bsUnataka kukutana nan? Mtafute lisu ukutane naye maana hata yeye ni mwana jamiforum
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko kama mimi. Ninaowafahamu hapa ni wale verified users wanaotumia ID za ukweli, lakini ID fake zote hakuna ninaemfahamu humu, isipokuwa kuna dada mmoja anajiita (flani) nahisi nilisoma nae, maana hata FB yake kwenye nickname alikua anatumia Id kama ya humu.Umu JF, inaonekana members wote washawah kukutana ana kwa ana n wakafahamiana, icpokua mimi tu ndo cjawah kukutana wala kuonana n member ata m1 umu....
Hii inawezekana kweli niwe mimi tu?
Au kuna wengine walio kam mm pia....
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahh, kna wny id feki umu inavoonekana...Uko kama mimi. Ninaowafahamu hapa ni wale verified users wanaotumia ID za ukweli, lakini ID fake zote hakuna ninaemfahamu humu, isipokuwa kuna dada mmoja anajiita (flani) nahisi nilisoma nae, maana hata FB yake kwenye nickname alikua anatumia Id kama ya humu.
[emoji3] [emoji3] watu wanaweka avator feki usiziamini...ni ngumu na ni wachache wanaoweka sura zao hapaUpo sahh, kna wny id feki umu inavoonekana...
Af mtu kama Daby mfano,
uyu jamaa kabla ya kumfaham umu JF, I gues nshawah kumuona somewhere bt nlivomwambia akakataa katu katu yan... Na nmemtambua kupitia avatar yke, asa cjui ile cyo sura yke au vp....
Mana sura ya kwny ile avatar yke nimeshawah kuiona perfect vision kwa kadeghe akiwa pupil, tena jamaa alikuaga n vtuko kwel....
Badae alikuja kuhamia kwny siasa n nakumbuka kuna taarfa 1 ya hbr ktk televshn flan nlimuona akihojiwa iv...
Ila anakana kbsaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Haiendani na unayoyaandika sio?Ukiona sura yangu ya kweli hutotaka kuona tena maandishi yng humu
Haiendani na unayoyaandika sio?
Sio ww tu wengi kwenye real life ni tofauti na hapa jf.....ila pia kutokana anayoandika unaweza mjua mtu yukojeKabisa
Sio ww tu wengi kwenye real life ni tofauti na hapa jf.....ila pia kutokana anayoandika unaweza mjua mtu yukoje
Ata hiyo avatar yako....si wewe kumbe ?[emoji3] [emoji3] watu wanaweka avator feki usiziamini...ni ngumu na ni wachache wanaoweka sura zao hapa
NdioAta hiyo avatar yako....si wewe kumbe ?
Kabla hujaniona niambie hapa naonekaje?
Yan mtu wa dizain gani
Unaonekana kabinti dot com mfano wa promo. Ukitembea unadunda kishikaji, ear phone nyeupe zilizoziba masikio yote kana kwamba usalama barabarani haukuhusu. Unapenda kuvaa simpo za kichina, na kitopu cheupe, achilia mbali kile ki mini skirt kinachoonyesha robo tatu ya hips na kusababisha wanaume wapambane na hali zao kila unakopita!Kabla hujaniona niambie hapa naonekaje?
Yan mtu wa dizain gani
HahaaaaaahUnaonekana kabinti dot com mfano wa promo. Ukitembea unadunda kishikaji, ear phone nyeupe zilizoziba masikio yote kana kwamba usalama barabarani haukuhusu. Unapenda kuvaa simpo za kichina, na kitopu cheupe, achilia mbali kile ki mini skirt kinachoonyesha robo tatu ya hips na kusababisha wanaume wapambane na hali zao kila unakopita!
Sent using Jamii Forums mobile app