that manzi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 385
- 1,246
Wakuu habarini za jioni, poleni na hekaheka na mihangaiko ya siku..
Samahani naomba wajuzi mniambie je inawezekana kwa mtu aliechaguliwa chuo mfano amechaguliwa TIA campus ya Dar es salaam akataka kuhamia TIA campus ya mbeya?
na kama inawezekana anatakiwa kufuata utaratibu upi?
Samahani naomba wajuzi mniambie je inawezekana kwa mtu aliechaguliwa chuo mfano amechaguliwa TIA campus ya Dar es salaam akataka kuhamia TIA campus ya mbeya?
na kama inawezekana anatakiwa kufuata utaratibu upi?