that manzi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 385
- 1,246
kheeeeeChuo sio shule tuliza futa hilo
Mweee mie ni bwege mtozeni wa ukooo
mbona ghafla😂Mweee mie ni bwege mtozeni wa ukooo
Imeandikwa kuwa mwanaume mzinzi ni mjinga. Sasa nitasemaje kuwa mie kipangambona ghafla😂
😂😂😂sawa mjinga weweImeandikwa kuwa mwanaume mzinzi ni mjinga. Sasa nitasemaje kuwa mie kipanga
Yooo unanitia mashido wewe tulia
Kabisa mie mjinga wala sijabisha😂😂😂sawa mjinga wewe
Yah anaweza hama iwapo passmark zinaendana na chuo anachotaka kwenda ,,si unajua cutting point za vyuo zinatofautiana,yaani huwezi taka kuhama medical kutoka kairuiki kwenda Muhas,labda atoke Muhas aende Kauruki,pia wanaangalia reason na nafasi kama ipo huko aendako..
Wewe huna uzinzi wowote!wanzinzi wapo humu kimyakimya jukwaani ni malaika ila huko PM ni balaa,mzinzi gani hujawahi hata kuja PM kunitongoza kidogo😆😆Imeandikwa kuwa mwanaume mzinzi ni mjinga. Sasa nitasemaje kuwa mie kipanga
🤣🤣🤣🤣 Aisee ila kweli kumbe wee bado sijakutongoza eehWewe huna uzinzi wowote!wanzinzi wapo humu kimyakimya jukwaani ni malaika ila huko PM ni balaa,mzinzi gani hujawahi hata kuja PM kunitongoza kidogo😆😆
🤣🤣🤣🤣Una uasherati wa mdomoni tu vitendo huna!kwenye kikao cha mashangazi kilichopita tulivyoleta majina ya king wa mitongozo humu ndani jina lake halijaingia hata kwenye top 20🤣🤣🤣🤣 Aisee ila kweli kumbe wee bado sijakutongoza eeh
Haya basi nakuja
Aisee kumbe wee ni lishangazi....tako titi na tumbo vuote vipo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Una uasherati wa mdomoni tu vitendo huna!kwenye kikao cha mashangazi kilichopita tulivyoleta majina ya king wa mitongozo humu ndani jina lake halijaingia hata kwenye top 20
umejiweka kwenye kundi la wasio na akili kabisa😂😂😂😂😂Imeandikwa kuwa mwanaume mzinzi ni mjinga. Sasa nitasemaje kuwa mie kipanga
😂😂😂😂kumbe ambao hatuji PM tunadharaulika eeeWewe huna uzinzi wowote!wanzinzi wapo humu kimyakimya jukwaani ni malaika ila huko PM ni balaa,mzinzi gani hujawahi hata kuja PM kunitongoza kidogo😆😆
Mje sipende unafiki. Napemda ukweli. Katika watu ambao hawana akili hii tanzania mie ni mmoja wapo. Naendekeza sana mbususu.umejiweka kwenye kundi la wasio na akili kabisa😂😂😂😂😂
hata top 50 hakuwepo🤣🤣🤣🤣Una uasherati wa mdomoni tu vitendo huna!kwenye kikao cha mashangazi kilichopita tulivyoleta majina ya king wa mitongozo humu ndani jina lake halijaingia hata kwenye top 20