Inawezekana uhuni wa Yanga ulifanywa kwa kushirikiana na TFF ndio maana TFF wapo kimya

Inawezekana uhuni wa Yanga ulifanywa kwa kushirikiana na TFF ndio maana TFF wapo kimya

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Sote tulisikia habari za yanga kufungiwa kwa kutomlipia ada ya usajili mchezaji ambaye wamefanya kuwa siri.

Hapa inawezekana kabisa walishirikiana na TFF kuchezea mfumo.Sasa hatari inayowakabili yanga inawakabili pia TFF ndio maana TFF wapo kimya na hawajatoa maelezo ya kutosha kuhusu sakata hili.

Tunataka uhuni katika soka ukomeshwe na watu kujidai watoto wa mjini ni mambo ya kizamani.Tutazidi kufuatilia tujue hasa suala hili lilikuwaje na kwa nini TFF wanalifunika
 
Sote tulisikia habari za yanga kufungiwa kwa kutomlipia ada ya usajili mchezaji ambaye wamefanya kuwa siri.

Hapa inawezekana kabisa walishirikiana na TFF kuchezea mfumo.Sasa hatari inayowakabili yanga inawakabili pia TFF ndio maana TFF wapo kimya na hawajatoa maelezo ya kutosha kuhusu sakata hili.

Tunataka uhuni katika soka ukomeshwe na watu kujidai watoto wa mjini ni mambo ya kizamani.Tutazidi kufuatilia tujue hasa suala hili lilikuwaje na kwa nini TFF wanalifunika
Acha hizo kipaumbele chetu ni kuchukua ubingwa misimu sita
 
Sote tulisikia habari za yanga kufungiwa kwa kutomlipia ada ya usajili mchezaji ambaye wamefanya kuwa siri.

Hapa inawezekana kabisa walishirikiana na TFF kuchezea mfumo.Sasa hatari inayowakabili yanga inawakabili pia TFF ndio maana TFF wapo kimya na hawajatoa maelezo ya kutosha kuhusu sakata hili.

Tunataka uhuni katika soka ukomeshwe na watu kujidai watoto wa mjini ni mambo ya kizamani.Tutazidi kufuatilia tujue hasa suala hili lilikuwaje na kwa nini TFF wanalifunika
Comments reserved
 
Sote tulisikia habari za yanga kufungiwa kwa kutomlipia ada ya usajili mchezaji ambaye wamefanya kuwa siri.

Hapa inawezekana kabisa walishirikiana na TFF kuchezea mfumo.Sasa hatari inayowakabili yanga inawakabili pia TFF ndio maana TFF wapo kimya na hawajatoa maelezo ya kutosha kuhusu sakata hili.

Tunataka uhuni katika soka ukomeshwe na watu kujidai watoto wa mjini ni mambo ya kizamani.Tutazidi kufuatilia tujue hasa suala hili lilikuwaje na kwa nini TFF wanalifunika
Kijana punguza mhaho Yanga Bingwa
 
Uhuni hatujaanza Leo, Morison alisema alianza kucheza kabla ya kusajiliwa Ila ile kauli ilichukuliwa kijuujuu.
Juzijuzi timu ya vijana ya Simba iligoma kucheza na yanga sababu usajili wao ulifanywa baada ya dirisha kufungwa. Kugoma. Kucheza Kuna adhabu yake Ila TFF haikutoa adhabu yoyote.
Huu uhuni ulifanywa na TFF kwa kushirikiana na yanga usiposhugulikiwa utaleta tatizo kubwa kwa soka la Tanzania.
 
Sote tulisikia habari za yanga kufungiwa kwa kutomlipia ada ya usajili mchezaji ambaye wamefanya kuwa siri.

Hapa inawezekana kabisa walishirikiana na TFF kuchezea mfumo.Sasa hatari inayowakabili yanga inawakabili pia TFF ndio maana TFF wapo kimya na hawajatoa maelezo ya kutosha kuhusu sakata hili.

Tunataka uhuni katika soka ukomeshwe na watu kujidai watoto wa mjini ni mambo ya kizamani.Tutazidi kufuatilia tujue hasa suala hili lilikuwaje na kwa nini TFF wanalifunika
Wewe ni mpuuzi! Bado umekomaa na Yanga kufungiwa wakati wenzio wako kwenye mikakati ya kusajili! Umesikia habari ya Kinzumbi? Umesikia habari ya Goncalves kutoka Angola? Umesikia habari ya Chadrack beki la nchi ya Congo? Shauri yenu na mwakani mtalialia tena!
 
Msemaji wa Yanga alifafanua vizuri sana hili jambo. Aidha hukusikia au hukupenda kuelewa kwa kuwa nilisikia mashabiki wa Simba wengi wanatamani Pakome awe na utata ili mechi zote alizocheza Yanga inyang'anywe points.

Ukweli ni kwamba CAF waliupdate mfumo wao wa kuwasiliana na vilabu bila kuwajulisha Yanga hivyo wakaendelea kutumia mfumo wa zamani ambapo taarifa zake zilikuwa hazifiki CAF. Adhabu waliopewa Yanga na CAF inafutika pale ambapo Yanga wanakuwa wametimiza matakwa na kutoa taarifa. Mf. Mchezaji anawadai basi kinachohitajika ni Yanga kuupload katika mfumo sahihi wa CAF bank slip ya malipo basi na adhabu inakuwa imefutika.
 
Sote tulisikia habari za yanga kufungiwa kwa kutomlipia ada ya usajili mchezaji ambaye wamefanya kuwa siri.

Hapa inawezekana kabisa walishirikiana na TFF kuchezea mfumo.Sasa hatari inayowakabili yanga inawakabili pia TFF ndio maana TFF wapo kimya na hawajatoa maelezo ya kutosha kuhusu sakata hili.

Tunataka uhuni katika soka ukomeshwe na watu kujidai watoto wa mjini ni mambo ya kizamani.Tutazidi kufuatilia tujue hasa suala hili lilikuwaje na kwa nini TFF wanalifunika
Kolowizard unatesekea wapi?
 
Back
Top Bottom