Inawezekana ukafanya kazi sanaa lakini kwa kujituma kwa juhudi za juu ila still ukafa masikini

Inawezekana ukafanya kazi sanaa lakini kwa kujituma kwa juhudi za juu ila still ukafa masikini

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Hu ni mfano hai katika maisha ya kila siku, sio kwamba kufanya kazi sanaa ndo kupata utajiri au ufahari kazi ni kipimo cha utu ni slagon tu.

Ukiangalia katika mchezo timu ya Arsenal haijawahi kucheza kwa miaka 20 ilio pita kama ilivo jitahidi msimo hu wa Epl ila hajapata kombe lolote, kijana moja amejinyongo kwasbb ya Arsanal kukosa kombe vijana tupunguze mihemiko katika ushabiki wetu.


Screenshot_20240520-144608_WhatsAppBusiness.jpg

 
Hu ni mfano hai katika maisha ya kila siku, sio kwamba kufanya kazi sanaa ndo kupata utajiri au ufahari kazi ni kipimo cha utu ni slagon tu.

Ukiangalia katika mchezo timu ya Arsenal haijawahi kucheza kwa miaka 20 ilio pita kama ilivo jitahidi msimo hu wa Epl ila hajapata kombe lolote, kijana moja amejinyongo kwasbb ya Arsanal kukosa kombe vijana tupunguze mihemiko katika ushabiki wetu.View attachment 2995053
But Raisi is no more!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hi nchi ni ngumu sanaaa
Ogopa mtu anaitwa Myahudi. Si wa kutania. Nawe lazima ujichunge maana hata daladala unayopanda inaweza kukosa njia kwa hali mbaya ya hewa. Kuchukia Myahudi ni balaa kwako
 
Hu ni mfano hai katika maisha ya kila siku, sio kwamba kufanya kazi sanaa ndo kupata utajiri au ufahari kazi ni kipimo cha utu ni slagon tu.

Ukiangalia katika mchezo timu ya Arsenal haijawahi kucheza kwa miaka 20 ilio pita kama ilivo jitahidi msimo hu wa Epl ila hajapata kombe lolote, kijana moja amejinyongo kwasbb ya Arsanal kukosa kombe vijana tupunguze mihemiko katika ushabiki wetu.View attachment 2995053
Watu wa aina hii skul wanaitwa "msuli tembo, matokeo sisimizi"
 
MGUHUUU UNAWEJA KUJIDUMA ILA KAMA HUKUADIKIWA KUBATA BESA UDAIZIA GUVA MASIGINI
 
Back
Top Bottom