hahahhahaahahahahahaha
hao wagonjwa wa Jamaica wote ni wageni na hawatumii mjani.😁😁😁
Hustahili kuungwa mkono maana tayari kesi za Corona zimesharipotiwa Jamaica.Maana sijasikia huko jamaica hili suala la corona kabisa .
Ngoja niendelee kifanya utafiti wangu View attachment 1399800