Inawezekana Wenje alivyotubu Kwa " baba" adhabu yake ndio ikawa agombee umakamu Mwenyekiti Ili amvuruge Tundu Lisu!

Inawezekana Wenje alivyotubu Kwa " baba" adhabu yake ndio ikawa agombee umakamu Mwenyekiti Ili amvuruge Tundu Lisu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kwenye mahojiano ya Kipindi Cha One on One Wenje ameiponda Nafasi ya makamu Mwenyekiti na kusema hainaga Fursa zozote zaidi ya kusimamia Vikao Vya Nidhamu

Wenje amesema Cheo Cha Makamu Mwenyekiti hakina majukumu tangible yanayoonekana, ni kazi ndogo sana

Ndio najiuliza kama ni kazi ndogo mbona anagombea Kwa kutumia gharama kubwa?

Au amelazimishwa Ili amvuruge rafiki yake?

Nimewaza hivi baada ya kumuona Wenje Kwenye ile orodha ya Wahaini wa Chadema

Ahsanteni sana 😄
 
Hicho cheo kinapaswa kikatiba kuboreshwa, ila nawapongeza chadema angalau kinagombewa, kule ccm ni uteuzi tu na kura za maoni
 
Kwenye mahojiano ya Kipindi Cha One on One Wenje ameiponda Nafasi ya makamu Mwenyekiti na kusema hainaga Fursa zozote zaidi ya kusimamia Vikao Vya Nidhamu

Wenje amesema Cheo Cha Makamu Mwenyekiti hakina majukumu tangible yanayoonekana, ni kazi ndogo sana

Ndio najiuliza kama ni kazi ndogo mbona anagombea Kwa kutumia gharama kubwa?

Au amelazimishwa Ili amvuruge rafiki yake?

Nimewaza hivi baada ya kumuona Wenje Kwenye ile orodha ya Wahaini wa Chadema

Ahsanteni sana 😄
Gharama kubwa ni ipi hiyo?fafanua mkuu
 
Abdul Gani hiyo unayemsema maana kuna Andul wengi hapa Tanzania mbna hatakiwi kwa majina yote matatu
 
Siasa bana 😄 inawavuruga watu

Ova
 
Back
Top Bottom