Inawezekanaje sekta moja ya umma kukataa taarifa za kiupelelezi za sekta nyingine ya umma?

Inawezekanaje sekta moja ya umma kukataa taarifa za kiupelelezi za sekta nyingine ya umma?

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Hili lipo kwa kiasi kikubwa sana ndani ya taasisi zetu za umma yakiwepo mawizara mbalimbali ikiwepo Ardhi na nyinginezo

Unaweza kuwa na tatizo labda mfano, suala la ardhi kutapeliwa ukafuatilia suala hilo mpaka ukalipeleka katika vyombo vya umma vya upelelezi navyo vikafanya kazi yake vizuri sana, kiasi wakapata "who is supposed" lakini suala hili litakapo rudi ili lifanyiwe kazi, taasisi hiyo ingine inapatwa na kigugumizi, although the issue are so openly and ocurately

Mambo ya aina hii ndiyo yatasababisha watu kuzidi kumkumbuka Hayati na mpendwa wetu, unamkamata mwizi lives na kuku halafu unashindwa kutoa hukumu na unabakia na kigugumizi badala ya kutoa maamuzi na mambo mengine yaendelee!

Serekali yetu makini ituondolee mambo ya aina hii ya kujipiga gwara yenyewe, Mambo ya aina ni kero mno kwa watanzania, "kuichelewesha haki ni moja ya njia kuu ya kutengeneza mianya rushwa"

#Tuchape kazi huku tukizingatia haki na kweli kwa wote!


Pole Dr. Angelina Mabula wizara ngumu hii.
 
Clarification ya kesi ya aina gani?

Au unamaanisha nini, clarification?
Kuwa na document mbili, Moja fake na ingine original, fake inakuwa imeshabainishwa kwamba fulani doc yako sio sahihi, umeipata wapi?, ushindwe toa maelezo uescape, mazima, wewe mwenye original pamoja na utambuzi kwa majirani udhihirishwe, then hao jamaa waone bado tu!
 
Kuwa na document mbili, Moja fake na ingine original, fake inakuwa imeshabainishwa kwamba fulani doc yako sio sahihi, umeipata wapi?, ushindwe toa maelezo uescape, mazima, wewe mwenye original pamoja na utambuzi kwa majirani udhihirishwe, then hao jamaa waone bado tu!
Hapo lazima Kuna janja janja sana zinahusika.
 
Back
Top Bottom