Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wanabodi,
Kama unaishi Tanzania basi bila shaka utakuwa unafahamu kuwa media zetu haziko free kama ambavyo zinatakiwa ziwe.
Suala la kukosoa serikali limekuwa ni nadra sana kusikika kwenye media za Tanzania ambapo media nyingi zimekuwa ni mouthpiece ya chama tawala wakiogopa kuikosoa serikali.
Pamoja na wimbi hilo kutanda nchini Tanzania, ripoti iliyotolewa siku ya jana na Tanzania Centre Of Democracy (TCD) zinaonesha kuwa uhuru wa vyombo vya habari nchini Tanzania umeongezeka.
Soma Pia: Jaji Warioba: Hofu na uoga sababu ya vyombo vya Habari kutoandika matatizo ya Wananchi
Kulingana na ripoti hiyo ni kuwa, kwa sasa Tanzania ni nchi ya 97 kwa kuwa na uhuru mkubwa zaidi wa vyombo vya habari duniani ukilinganisha na mwaka jana ambapo Tanzania ilikuwa inashika nafasi ya 143.
Swali langu kwenu wanabodi ni kuwa hii inawezekanaje? Au kuna sheria yoyote imebadilishwa wakuu na sisi hatujui? Mbona hali inazidi kuwa mbaya na ripoti inasema tofauti?
Nawasilisha!
Kama unaishi Tanzania basi bila shaka utakuwa unafahamu kuwa media zetu haziko free kama ambavyo zinatakiwa ziwe.
Suala la kukosoa serikali limekuwa ni nadra sana kusikika kwenye media za Tanzania ambapo media nyingi zimekuwa ni mouthpiece ya chama tawala wakiogopa kuikosoa serikali.
Pamoja na wimbi hilo kutanda nchini Tanzania, ripoti iliyotolewa siku ya jana na Tanzania Centre Of Democracy (TCD) zinaonesha kuwa uhuru wa vyombo vya habari nchini Tanzania umeongezeka.
Soma Pia: Jaji Warioba: Hofu na uoga sababu ya vyombo vya Habari kutoandika matatizo ya Wananchi
Kulingana na ripoti hiyo ni kuwa, kwa sasa Tanzania ni nchi ya 97 kwa kuwa na uhuru mkubwa zaidi wa vyombo vya habari duniani ukilinganisha na mwaka jana ambapo Tanzania ilikuwa inashika nafasi ya 143.
Swali langu kwenu wanabodi ni kuwa hii inawezekanaje? Au kuna sheria yoyote imebadilishwa wakuu na sisi hatujui? Mbona hali inazidi kuwa mbaya na ripoti inasema tofauti?
Nawasilisha!