Inawezekanaje vituo vya mafuta(shell) kunakua na bango la lipa kwa mpesa wakati huo huo kunakua na bango la zima simu?

Inawezekanaje vituo vya mafuta(shell) kunakua na bango la lipa kwa mpesa wakati huo huo kunakua na bango la zima simu?

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Nilipofika kwenye kituo cha mafuta cha maeneo ya Mbezi Beach ya Chini ili kujaza gari langu, niliona mabango mawili yaliyonivuruga kidogo. Moja lilikuwa limeandikwa "Lipa kwa M-Pesa," likinionyesha kwamba naweza kufanya malipo kwa njia ya simu, jambo ambalo niliona ni rahisi na haraka.

Lakini jambo la kushangaza ni kuwa kulikuwa na bango lingine karibu nalo lililosema "Zima Simu." Nilijiuliza itakuaje nitatumia M-Pesa kufanya malipo wakati nimeambiwa nizime simu yangu?

Nilimwuliza mfanyakazi wa kituo cha mafuta kuhusu hali hiyo, naye kabaki anacheka tu.

Hii imekaaje wadau?
 
Nilipofika kwenye kituo cha mafuta cha maeneo ya Mbezi Beach ya Chini ili kujaza gari langu, niliona mabango mawili yaliyonivuruga kidogo. Moja lilikuwa limeandikwa "Lipa kwa M-Pesa," likinionyesha kwamba naweza kufanya malipo kwa njia ya simu, jambo ambalo niliona ni rahisi na haraka.

Lakini jambo la kushangaza ni kuwa kulikuwa na bango lingine karibu nalo lililosema "Zima Simu." Nilijiuliza itakuaje nitatumia M-Pesa kufanya malipo wakati nimeambiwa nizime simu yangu?

Nilimwuliza mfanyakazi wa kituo cha mafuta kuhusu hali hiyo, naye kabaki anacheka tu.

Hii imekaaje wadau?
duuuh hatari sana,hii kitu inafikirisha sana aisee...
 
Nilipofika kwenye kituo cha mafuta cha maeneo ya Mbezi Beach ya Chini ili kujaza gari langu, niliona mabango mawili yaliyonivuruga kidogo. Moja lilikuwa limeandikwa "Lipa kwa M-Pesa," likinionyesha kwamba naweza kufanya malipo kwa njia ya simu, jambo ambalo niliona ni rahisi na haraka.

Lakini jambo la kushangaza ni kuwa kulikuwa na bango lingine karibu nalo lililosema "Zima Simu." Nilijiuliza itakuaje nitatumia M-Pesa kufanya malipo wakati nimeambiwa nizime simu yangu?

Nilimwuliza mfanyakazi wa kituo cha mafuta kuhusu hali hiyo, naye kabaki anacheka tu.

Hii imekaaje wadau?
Unakariri namba unakwenda kulipia pembeni, ila cha kushangaza wale wahudumu wote na muda wote wana simu
 
Mabango yanaandikwa kimazoea. Ni kama bango la USIPIGE PICHA ENEO HILI...wakati ukitaka picha ya eneo hilo unaipata Google Earth
Picha za ubalozi wa Marekani zipo telee tena zinazoonesha ndani ya ofisi zao.. Ile nje mabango ya kutosha. Za Bank Kuu nazo ndo usiseme yani ni kupita na google Map tu kila kitu unaona. 😅
 
Back
Top Bottom