assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,905
- 4,054
Andamaneni na mtoe serikal iliyo madarakani. Baada ya apo nendeni mahakamani mtashinda asubuhi mapema, laa sivyo endeleeni kuuguza maumivu au lambeni miguu ya watesi wenu.Nimeshangaa Kuna mtu alilipwa hela na kuerjeshewa baadhi ya assets je waliofirisika kwasababu ya sera je wanalipwaje fidia
Mkuu umeelewa. Ni kuhusu Injustice waliopitia baadhi ya watu je haiwezi kuwa reviewedAndamaneni na mtoe serikal iliyo madarakani. Baada ya apo nendeni mahakamani mtashinda asubuhi mapema, laa sivyo endeleeni kuuguza maumivu au lambeni miguu ya watesi wenu.
Mkuu jiulize wewe mwenyewe badala yakumuuliza mleta mada,kua nchi hii wamepita marais wangapi,na miongoni mwao nani alishafariki?funguka ni raisi Yupi aliyekufa unayetaka kumshtaki?
Mkuu jiulize wewe mwenyewe badala yakumuuliza mleta mada,kua nchi hii wamepita marais wangapi,na miongoni mwao nani alishafariki?
Halafu ndiyo uendelee na maswali,samahani kama nimekukwaza.