Inayotoka kwenye chungwa au kitunguu na kusababisha kupalia puani inaitwaje?

Inayotoka kwenye chungwa au kitunguu na kusababisha kupalia puani inaitwaje?

Kibirizi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2011
Posts
604
Reaction score
146
Wataalamu wa lugha ya kiswahili naomba kufahamu, hivi ile inayotoka kwenye chungwa au kitunguu na kusababisha mtu kupalia na kupika chafya inaitwaje, wengine wanasema eti ni moshi wa chungwa, wangine gas, wangine maji, wengine mvuke sasa inachanganya tunashindwa kuelewa.
 
Back
Top Bottom