Inchi imetulia. Yanga kimyaaaa

Nishukuru Yanga kufungwa maana kama wangefunga kelele mpaka maiti wangesikia. Asante USM Algers
nchi haiwezi kutulia coz ni yanga pekee nchini ndo ipo kwenye hzo levo,km simba nayo ingekuwa fainali klabu bingwa hapo kweli tungetulia
 
Nishukuru Yanga kufungwa maana kama wangefunga kelele mpaka maiti wangesikia. Asante USM Algers
Bado second final 03/06/2023 we Mbumbumbu kuwa na akiba za maneno ya kukariri matokeo katika mpira lolote huwa linawezekana.

Wanasaikolojia wawasaidie Makolokolo kuwaweka vizuri kiakili, kwanini wanalazimisha furaha pasipo na raha [emoji848][emoji1][emoji2960]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
the hate is real.
Ni kweli. Walianzia pale walipoanza kufuta kwa nguvu historia ya Simba kucheza fainali ya michuano hiyo 1993 ili waonekane wao ndo wa kwanza kufika level hizo. Hiyo siyo hate?

Hate nyingine inakuja pale mtu anapoponda Simba kuishia robo fainali ya CL kana na kupeleka timu 4 kimataifa kwa misimu kadhaa kana kwamba hayo siyo mafanikio. Hiyo nayo iitwe nini kama siyo hate?

Hate ya hivi karibuni kabisa ni Ile ya kumtukana na kumdhalilisha Mgunda, ambaye hajawahi kutoa shit yoyote dhidi ya Yanga. Ni kiwango cha namna gani cha hate hicho?
 
Nishukuru Yanga kufungwa maana kama wangefunga kelele mpaka maiti wangesikia. Asante USM Algers
kuijadili timu iliyofika fainali ni matumizi mabaya ya muda, sisi simba tuangalie tumepotea vipi msimu mzima bila kombe lolote kwa msimu mzima.
 
Mgunda alisemwa na msemaji wa timu na sio kwa niaba ya timu. na kuhusu hayo mengine umebishana na watani wako huko mtaani kwenu ambao ni mashabiki wa yanga, unakuja ku-generalize.. 😅 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…