incubater

incubater

alohadm

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2013
Posts
360
Reaction score
157
jaman naomba anaejua bei za mashine za kutotolesha mayai zinauzwaje na znachukua mayai mangap.na mengineyo juu ya hzo mashine.nawasilisha wanajamvi
 
Mashine za mayai ziko za aina nyingi sana, na kikubwa kuna aina mbili za Incubator.

1. Still Air Incubator

2. Forced Air Incubator

Hiyo No 2 ndo the best,

Kuhusu idadi ya mayai, kuna zinazo beba hata mayai 10 hadi za mayai hata Milioni moja, inategemeazna na ukubwa wa project yako,

Incubator zina hitaji umakini wa kipee kwenye kununua kwa sababu nyingi huwa ni feki au zenye ubora hafifu na matokeo yake ni kukuingizia hasara kubwa sana,
 
tnx kwa mchanganuo wako.na bei zpo vp?
 
chacha, Hio incubator no. 2 ya mayai 100 ni bei gani?
 
Last edited by a moderator:
Hata mie napenda sana kupata Incubator kuanzishia mradi wa kuku wa kienyeji
Bei yake na mahali ilipotengezwa
 
kuna incubator nzuri sana zinatoka China, zina uwezo wa kubeba mayai 96. Kwa sasa stok imeisha ila zitakuwepo tena kuanzia tarehe 20 mwezi huu. Bei laki 4 tu. Kwa anayehitaji tuwasiliane kwa namba 0713354090 au email: ishenyaka@gmail.com
 
Back
Top Bottom