ehee kumbe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2013
- 267
- 155
Tunatengeneza incubator za kutotolea mayai ya ndege wa aina zote.ni incubator zenye ubora wa hali ya juu.ni automatic zinageuza mayai zenyewe,zinacontral zenyewe kiwango cha joto na unyevu.
zina dumu muda mrefu kwa sababu tunazitengeneza kwa kutumia malighafi zenye kiwango cha juu cha ubora.unapoweka mayai hauna haja ya kuacha kazi zako eti unasimamia mayai,ukiweka mayai unaweza kusafiri hata wiki 2 ila siku ya 21 uwepo kutoa vifaranga vyako
mashine yenye kubeba mayai 300 bei ni sh 850,000/=,yenye kubeba mayai 600 bei ni sh 1,700,000/=,yenye kubeba mayai 1,000 ni sh 3,500,000/=,yenye kubeba mayai 2,500/= bei ni sh 5,000,000/=
tunapatikana DODOMA MJINI JENGO LA MANISPAA DODOMA.utakapo nunua incubator kwetu utatumiwa kokote ulipo itakufikia.kwa mawasiliano piga namba 0765 442104
zina dumu muda mrefu kwa sababu tunazitengeneza kwa kutumia malighafi zenye kiwango cha juu cha ubora.unapoweka mayai hauna haja ya kuacha kazi zako eti unasimamia mayai,ukiweka mayai unaweza kusafiri hata wiki 2 ila siku ya 21 uwepo kutoa vifaranga vyako
mashine yenye kubeba mayai 300 bei ni sh 850,000/=,yenye kubeba mayai 600 bei ni sh 1,700,000/=,yenye kubeba mayai 1,000 ni sh 3,500,000/=,yenye kubeba mayai 2,500/= bei ni sh 5,000,000/=
tunapatikana DODOMA MJINI JENGO LA MANISPAA DODOMA.utakapo nunua incubator kwetu utatumiwa kokote ulipo itakufikia.kwa mawasiliano piga namba 0765 442104