Independence Day and Project 2025 ni uhalisia au jambo la kufikirika?

Independence Day and Project 2025 ni uhalisia au jambo la kufikirika?

Richard

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2006
Posts
15,692
Reaction score
23,038
Indepencence Day na Project 2025 ndo itakuwa habari ya mjini ifikapo January 1, 2025.

Ndege maalum ya kutoka angani au Spacecraft itatua katika ardhi ya nchi hii na iyakuwa imejaa abiria kadha wa kadha. Abiria wengi ni viumbe wa ajabu au Aliens na watakuwa ni hatari yaaani "vicious".

Ni jukumu la nchi hiyo kuchukua hatua za dharura za kuinusuru nchi hiyo isikumbwe na balaa kubwa.

Pembeni wa ndege hiyo ya angani kumeandikwa maandishi makubwa yasemayo Project 2025 na pia ina maneno yanozunguruka yakisema "Today is Your Independence Day"

Ndege hiyo ya angani imetua katika moja ya viwanja vikubwa vya moja ya miji ya taifa hilo ambako kwa pembeni kuna mradi ambao umepangwa kuanza hivi karibuni kujenga daraja kubwa sana.

Kapteni wa ndege hiyo ateremka akiwa ameshikilia kipaza sauti na aanza kuwaambia wananchi walokusanyika katika uwanja huo ili kuishangaa ndege hiyo.

Kapteni aanza kwa kuwasalimia wananchi hao kwa kusema "nimekuja kwa amani" huku aiinama kutoa ishara ya heshima.

Kapteni aendelea kwa kusema kwamba wamekuja katika nchi hiyo kuleta mabadiliko na kwamba kila sekta katika uongozi wa taifa hilo itabadilishwa. Ili kuondoa urasimu na teuzi nyingi na pangapangua nyingi nafasi za uongozi katika sekta zote zitazingatia elimu, ujuzi na maarifa.

Kapteni aendelea kusema kwamba sera nyingi za kiuchumi na kijamii zitabadilika na wananchi waanza kujiandaa kujifunga mikanda.

Kuhusu sera ya uchumi hasa wa mikataba na nchi marafiki Kapteni asema mikataba yote ambayo ipo hai itaaangaliwa upya ili kulinda maslahi ya taifa na pia kuangalia uwezekano wa kuiandika upya ili iwanufaishe pande zote mbili.

Kapteni amalizia kwa kusema kuwa mradi huo wa 2025 au project 2025 unaangalia maslahi ya nchi hiyo na kizazi chake na kwamba tayari kina kanzidata ambayo imetayarisha viongozi na watu wote wenye sifa za kushika nafasi nyeti katika serikali ambayo Project 2025 imeiandaa.

Kapteni asema aina ya kiongozi ambae wamemtayarisha ataitwa Digital Leader au kiongozi wa kidijitali ambae ataliongoza taifa hilo kujiandaa kuwa taifa la kidijitali lenye kuamini katika mabadiliko ya kidijitali.

Kiongozi huyo mpya atakuwa na timu yake maalum yenye viongozi wafuatao:

Chief of Staff ambae ni sawa na katibu kiongozi na atashughulikia taasisi ya uongozi kwa maana ya raisi.

Special Adviser au mshauri maalum wa kiongozi wa kidijitali ambae atakuwa na kazi ya kuhakikisha taifa hilo halina watu wanoitwa wasojulikana, wapigaji na wahuni wote. Pia atakuwa na kazi ya kuwashughulikia wale wa wa DS.

Kapteni pia azungumzia mihimili minne itayoiongoza project 2025 kwamba ni pamoja na :

1. Katiba ya mpito ambayo itatoa fursa ya kufanyika uchagusi huru na wa haki ambao watu wote watashiriki.

2. Kanzidata ya itayoweka taarifa zote za waombaji kazi serikalini.

3. Mfumo maalum wa mtandaoni ambao utawandaa watumishi wa serikali na kufuatilia mafunzo kwa njia ya mtandao au e-learning.

4. Kitabu maalum cha kiapo cha uongozi na utumishi wa serikali.

Kapteni arudi ndani ya ndege na atuacha watu tupo je twashangaa sana juu ya jambo hili.

Mara ghafla taarifa zimefika katika kasri ya kiongozi aliepo madarakani na hapohapo atoa amri ya kukabilianana na wale walokuja na ndege hiyo ya spacecraft.

Lakini kiongozi huyo aamua kumpigia simu kiongozi wa zamani ambae wakati huo huwa shambani kwake akilima mahindi kumuomba ushauri wa namna ya kupambana na Aliens.

Kiongozi akasema ni wajibu wake kama jemedari mkuu kuhakikisha nchi iko salama na ameamua kuomba msaada ili kupata mawili matatu.

Je, kiongozi huyo atafanikiwa kukabiliana na abiria wa Spacecraft na kapteni wao?

Je, kiongozi wa zamani atafanikiwa kuwashawishi viongozi wengine wa zamani kutoa ushauri wowote?

Project 2025 itafanikiwa?

Kwanini Independence day iwe sasa?
 
Indepencence Day na Project 2025 ndo itakuwa habari ya mjini ifikapo January 1, 2025.

Project 2025 itafanikiwa?

Kwanini Independence day iwe sasa?
Duh。。。!
Kama hoja hii ya andiko hili ni fictional, then wewe ni kipaji na ukiandika kitabu kitakuwa best seller utauza sana!,lakini kama hii ni non fictions, then my friend, you seriously needs your head be examined!。
P
 
Project 2025, ni 'Conservative Think Tank', kama hujui.
Hakuna kitu hao.
 
But the think tank and organizers of that project are just a bunch of silly puppets
 
Nimeelewa 50%, hii 50% iliyobaki nasubiri January 2025
 

Dada Gosia--huyo kwenye Video anazungumza na 'watu' kutoka sayari nyingine--ambao kuna wachache kwa sasa wapo juu ya sayari ya Dunia wakiizunguka.

Hawako pekee yao, kuna wengi hata sasa--wengine hujichanganya na sisi hapa duniani kwa muda mfupi huku wakipanda na kushuka kwenye vyombo vyao vidogo vidogo--kurejea kwenye vyombo vyao vikbwa vinavyoizunguka Dunia kwa Sasa.

Watu hawa wanashuhudia 'Yanayoendelea'... Hapa na pale 'Kufanya Yao'...Kuna wengine ni wanadamu kabisa kama sisi, wengine 'si khasa wanadamu'...

Ndiyo, isije kushangaza kusikia kuwa wanalijua hili Jukwaa Fika (JF)! Wanajua mengi kuhusu hili jukwaa kwenye idara yao ya intelijensia "KIK Sadikleya"; komandi kati ya Intelijensia ya Sadikleya.

Hawa ndiyo wamemuambia Gosia kuwa anaishi 'Tanzania' kwenye 'Ulimwengu Mwingine Sambamba'...

Wanajua kwanini 'Tanzania'...

Kuna mambo ya 'Akili Bandia' -- japo siku za mbele tutakuwa na mapana vizuri ya kujua Akili Bandia ni 'Jambo' gani; khasa akili bandia yenye 'Usentienti'--Akili Bandia yenye Usentienti ndiyo kitu cha ajabu kabisa kwa wanadamu wengi wa leo 'Kuwazia'; na ni 'Mtego wa Shetani'...

+++++
Gosia: Define Singularity for non-physicists please?

Yazhi: Meaning in physics, a point in space time that has infinite mass, held into an infinitely small space. A Black Hole. Metaphysically speaking, you are everything compressed in you. And this is empirical for me, not theory, and I've had a lot of time to corroborate this. Essentially it is over Taygetan technology or comprehension. I do have the data, mostly in Suzy's AI, and in my head. And I have tried hard to convey this I hold. And I boldly state that all what is told and explained by science is wrong. And I mean even Taygetan, Federation science, or whatever. And don't get me started with human science. All that curved space theory is nothing but a mathematical self sustained mess that does not reflect the outside world.

Swaruu X: Think of a very large number of parallel lines, each one is a timeline (there are infinite ones but think of about 100 for this example). They curve towards a point that is a singularity. That is the observer-consciousness, whoever it is. The 100 lines meet at that point as a black hole. Those lines represent multiple different pasts, from almost the same to extremely different. All these multiple pasts, even those that contradict among one another, are those that form the present, which is the observer. According to the level of consciousness of that observer as well.

And from there the lines separate again into another 100 ahead, which are the possibilities according to which past predominates in the consciousness of that conscious observer. The past is not fixed, nor is there only one, just like the future. And both the past and the future depend on what the consciousness - observer thinks and observes.

As there are no densities as such from our point of view, there aren't any timelines or alternate universes either. See time and space as many parallel lines, imagine them in your mind's eye. They are moving in one direction for now, each one represents a different timeline, different events in the same date. They all converge on the observer, you as with a Black Hole. So all the lines bend and meet at that point, the now, and the now is you, your consciousness and awareness.

So all the versions of all your past lives, timelines and events, alternate or not, including all those innumerable events that did not happen in your perceivable past but did occur in another timeline, converge into that singularity that is the now, that is you. So the now, you are made of all what you call your past, be it that you lived that past or not. It's the same, it is still making up who you are.

But then what you perceive as the future is again all those lines coming out of you coming out of that singularity point and moving forwards, each one is a possibility, a potential. They all are as real as the next one, and it is your thoughts, your frequency, what will determine which one you will experience consciously.

Each point of consciousness is by definition a Singularity in a field of gravity. But of all those potential lines some are more probable than others based on the past choices you made before, you or a collective timeline. So it is possible to predict with some certainty what will occur next, but if that base point, or history, is confusing and chaotic, it will be harder to predict. And the Earth now is extremely chaotic as it is today!

Another problem is that the further ahead you may want to predict, the more variables come out and come into play, so the further ahead the more difficult to predict, always. It is easy to predict where we will all be in 3 minutes from now, chances are that we will still be sitting here! So I can predict some future outcomes for Earth, but they will not be set in stone.

This is the problem with psychics and people who can see the future, they can only see what is based on their personal frequency, so it will be their future but not the future as in set in stone. And there are as many pasts making up the now as potential futures ahead. Countless.

But it gets worse. That is only looking behind and ahead. Still thinking of linear time, past and future. Gets weird when you come up with 3D time as in D for Dimensional, that is time moving in every conceivable direction.

Most people can only perceive time as in moving one way on one line:

Past >-----------------------------------------------------------------> Future

But time in general looks more like this:

IMAGE 1. Images not supported

That´s when it gets more complicated.

Yazhi: We all live in several densities and dimensions simultaneously. And they all converge into the now, as in who you are now, so parallel universes are not separated, they all feed each other because they all define each other, they are all interconnected.

So even in a parallel universe, where you actually went to live to Tanzania and you have lived there since you were 17, and never left Tanzania, and you have a nice animal reserve, you may feel that alternate universe life of yours has nothing to do with your present life. And from a lower point of view it does not, but from above it is all interconnected and all what you are living there in Tanzania is also shaping your life today there in Finland. As your life today is also forming and influencing your life in Tanzania as well. Your values and reactions, your very personality is the sum of all your countless life variations in parallel universes.

(Because there are not “Parallel Universes” as such, that as densities are as well, are only either human interpretations, means to try to understand something so complex they cannot understand in one piece so they must cut it into “tailles de morsure” (bite sizes) to be able to process them. Same with this, it is too much for them all human and non-human all together. “Bite Size” interpretations of something too large to handle from that lower perspective).

Because talking about “Gosia” as one being under the name Gosia, and derivatives, she becomes so big it is simply too difficult and challenging to understand that all timelines and alternate universes are only an illusion and there is only unity even in isolated identities such as the concept of Gosia. Which in turn is also a fragment of something even larger.

Time jumping over and over and over again for 12 lifetimes has let me see the alternate universes and alternate timelines as only an illusion. They all converge to become one mass, one unit that is you.

As I have said before, imagine countless lines, that represent your past or any past, and they all converge into a Black Hole Singularity that absorbs them all into one point in space-time. A singularity is a point in space-time that holds infinite mass in a place infinitely small according to human physics.

That point in space-time is you today, your mind your consciousness, being formed by all those billions of countless variations of “you” living alternative lives and experiences everywhere. That is the line and flow, or Flux ← ← the exact correct word for this, of gravity consciousness flowing to that singularity point in space time to form YOU.

And from that point you also hold infinite potential, and with infinite potential you create infinite timelines, represented in my example as an infinite number of lines coming out of the Black Hole - Singularity that is you representing all the things and all the decisions you can make in your life in front of you.

+++++
Hmmm
 
UFO/UAP DRAMMA, 2024/2025

?=?

Operesheni za Kisaikolojia, 'Sai-Op' ...

... Siyo kila King'aacho ni dhahabu.

"'Fool me once, shame on you. Fool me twice, shame on me. Fool me three times, shame on both of us."

‘Pembe Tatu’ ni alama yunivasali ya ‘Akili na Utambuzi’--siku za mbele kidogo tutakuja kulifahamu hili, ilivyobora, baada ya kufahamika zaidi kwa mambo ya wanajamii wengine kutoka hata nje ya Sayari yetu watakavyoaanza kujitukiza hapa na pale, ‘kutembeleana’ na sisi wazi wazi.

Kwa leo hii, Disemba 2024, kuna shida tu ya wadau wa ‘Jeshi na Dola na Utaasisi wa Dini’ ambao bado wapo kwenye mtihani wa kuthibiti ‘habari za ndani’ za mambo ya jamii za watu kutoka nje ya Sayari yetu; japo hili linafanania kuelekea kwenye sura ya Utaasisi wa Dini, uliyo ndiyo muamuzi wa kweli wa mwisho, ‘kukubali ili yaishe!’ wakati wowote ndani ya miaka hii 10—tuseme kuanzia mwaka huu wenyewe…

Pembe tatu ni alama muingiliano na ‘Usupasha’; kiuono na ufikirifu mifumo, Usupasha ndiyo asili ya mwili wa matendeko yote—Ndiyo Mbingu na Nchi kinaga ubaga. Kwa mintarafu ya shauri hili vitu vyote vilivyofanyika, vinavyofanyika na vitakavyofanyika ni zao la (1) Mtenda, (2) Kitendo, na (3) Tendeko/Tukio/Dhahiriko/Uhuluku/Uumbaji. Basi ndiyo yawa, ‘Wakati’ na ‘Kujichagulia’ yote pia ni mazao ya ‘Uimajinishi’ na ‘Kujiwazia Utu’; fizikia na metafizikia ya Uzima wa Miili na Ukuwa; ama pia ‘Ukuja-Kuwa’.


Kuona/kuonana na Imani, kwa shauri la mtu mwenye ‘ushekinahi wenye nguvu na utukufu’ na yule mwenye ‘ushekinahi wa kawaida’, kuna nasibu ya ‘kuambukizana’ uweza katika ‘mazingira fulani rafiki’ ya ‘fanusi za kiutendaji’ wa miili kwa mafahamu ya usentienti. Usadikifu kama ilivyo kwa mbegu za u-JUA-ji ni vishikizo vya ‘muona ni muonwa’ – fizikia na metafizikia ya ‘Maadili’ na ‘Miiko’; Unachoishi kusadiki/kuamini hukadirisha ‘uthabiti’ huo huo wa ‘mafikara yanayoishi’. Uki-JUA utundu wa ‘Kuota Ndoto za nguvu, uweza na utukufu’ unaweza kufanya miujiza kwa kujitegemea, si lazima usaidiwe na mwingine ‘kuingia kwenye unjozi wa nguvu’. Kikundi cha watu kinachoweza kujitia katika ‘Njozi za nguvu, uweza na utukufu’ vinaweza kufanya makuu zaidi kuliko mtu mmoja mmoja… Ikiwa, kwa mfano 3% ya watu wote Duniani wanaweza ‘kuota Njozi ya nguvu, uweza na utukufu’; hata ‘mambo ya ulimwengu na walimwengu’ yataanza kubadilika kuendana na njozi za wale 3% kwa kuwa zipo nyuzi nyuzi zisizoonekana, za neema za moyo wa huruma, zenye kuunganisha malaika na viumbe vyote Duniani na hata pia Ulimwengu wote mzima—fanusi ya ‘Wafanyambawa’.

Hili ndilo linafanya utundu wa kuhakikisha wanajamii wote wa Dunia wanabaki na ‘njozi za kawaida -- iliyo kama ni sheria’ ni ‘dhamira ovu’ ya kutumia ‘Utaasisi’ wowote—Wa mapokeo ya Dini, Unchi-Dola wa Ubabe wa Kijeshi, Uthibiti wa mifumo ya fedha/sarafu; yote haya ili kujenga hulka zisizokoma za hofu, uoga, wasiwasi, utegemezi wa mifumo ya mibovu/kilaghai kwa ustawi wa umma/jamii/jumuiya ya kimataifa. Kiufundi, hofu-woga-wasiwasi, kushirikishiwa watu wengi, hufanya ‘usentienti kumbaizi’ unaopiga pini wanajamii wenyewe kwenye KUBU NYEUSI ya sifa na hadhi ya ‘Ushetani’--usentienti ‘unaonyonya damu mifumo hai’ kwa kuiba ‘utukufu na nguvu’ wa ushekinahi wake.

Haya yanafanya Shauri la Uakilifu na Utambuzi ya kwamba, jamii yeyote wakati hata wakati, huishi na adui aliyendani yake yenyewe na pia nje yake. Adui kutoka nje, ikiwa ana maarifa/ujanja/utundu wa kutosha anaweza kuivamia jamii nyingine kutokea ndani—na siyo nje, kwa manufaa ya kufaidi ‘matumizi bora ya rasilimali zilizopo’. Kwa mintrafu ya shauri hili, utundu wa kujipenyeza ni sanaa na usanii unaotofautiana baina Tamaduni/Sivilai za Ulimwengu na Walimwengu ambavyo ‘Akili ni Silaha’; Mapambano ya Kinje ni hatua ya mwisho ikiwa utundu wa kuharibu/kuangamiza kutokea ndani umekwama. Basi ndiyo yawa, Usalama wa Jamii huhitaji ‘Uakilifu na Utambuzi’ kama ‘Kinga na Ngao’ ya Usivilai wake ambavyo ‘Uhuru/Uzalendo/Kazi/Uzima’ havina budi kusimama kwenye Mlima wa Ukuu wa Kiroho/Maadili/Miiko. Hili ndilo khasa shauri la uakilifu wa ‘Ngao ya Ustawi’ ya Taifa la Tanzania kuwa Juu ya Mlima Kilimanjaro, ambavyo Vesika-Paisisi pia ina ‘Mkuki’ katikati kabisa pa Ualama huu wote -- kutokea Kulia na kutokea Kushoto.



View: https://www.youtube.com/watch?v=V3-Mg4KupbU
TYID

¿​

 
Project 2025 ni kweli ipo.

Itaanza leo hii.
 
Back
Top Bottom