India: Adaiwa kubakwa alipoenda Polisi kuripoti tukio la kubakwa

India: Adaiwa kubakwa alipoenda Polisi kuripoti tukio la kubakwa

prumpeti

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2022
Posts
1,023
Reaction score
2,308
Msichana wa miaka 13 anaedaiwa kubakwa na wanaume wanne nchini India ,anadaiwa kubakwa tena na Askari Police wakati alipokwenda kuomba msaada wa police na kuripoti shambulio la kwanza

Mamlaka ya Uttar Pradesh ilithibitisha Kwamba police huyo amekamatwa kutokana na kitendo chake hicho kilichozua taharuki nchini humo huku wengi wakishutumu police kwa kusaidia kuchochea ukatili wa kijinsia

Hata hivyo wanaume wanne wanekamatwa kwa madai ya kumteka nyara na kumbaka mtoto huyo mwezi Aprili ambapo inadaiwa walimpeleka katika jimbo jirani la Madhya Pradesh ambapo alibakwa na kushikiliwa kwa siku nne ...

Duuh aina gani ya Ulimwengu hii...?
 
Kubakwa India sio kesi kubwa ni kama hizi vitendo vya vijana wa panya hapa Tanzania
 
Daah!! Unyamaa Mwingi Sana Mwaisa MtuBad.
 
Msichana wa miaka 13 anaedaiwa kubakwa na wanaume wanne nchini India ,anadaiwa kubakwa tena na Askari Police wakati alipokwenda kuomba msaada wa police na kuripoti shambulio la kwanza...
Afande alitaka kuthibitisha kama ni kweli?
 
Wahindi siku hizi Wana vituko Kama wakenya.
Juzi juzi walibaka kenge kamrekodi wakamuua wakamla
 
Msichana wa miaka 13 anaedaiwa kubakwa na wanaume wanne nchini India ,anadaiwa kubakwa tena na Askari Police wakati alipokwenda kuomba msaada wa police na kuripoti shambulio la ...

Adaiwa au adai kubakwa?
 
hivi watu wa india hawajui kutongoza wao huwa ni kubaka tu au ni nini??
 
"Anadaiwa" hili neno kwenye hii habari limesimama kama "anayesemekana". Taarifa isiyothibitishwa bado.

"Anadaiwa kubakwa" kwa kiswahili iko fyongo. Ingekuwa sawa kama angekuwa mnufaika kwenye ubakwaji huo.
 

Msichana wa miaka 13 anayedaiwa kubakwa na Wanaume wanne nchini India, anadaiwa kubakwa tena na Askari Polisi wakati alipokwenda kuomba msaada wa Polisi na kuripoti shambulio la kwanza.

Mamlaka ya Uttar Pradesh ilithibitisha kwamba Polisi huyo alikamatwa kutokana na kitendo chake hicho kilichozua taharuki nchini humo huku wengi wakiwashutumu polisi kwa kusaidia kuendeleza utamaduni wa ukatili wa kijinsia.

Wanaume wanne wamekamatwa kwa madai ya kumteka nyara na kumbaka mtoto huyo mwezi Aprili ambapo inadaiwa walimpeleka katika jimbo jirani la Madhya Pradesh ambako alibakwa na kuhifadhiwa kwa siku 4.

Ofisi ya Kitaifa ya rekodi za uhalifu nchini India inasema kuna zaidi ya kesi 28,000 za madai ya unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya Watoto nchini humo kwa mwaka 2020 pekee lakini Wanaharakati wanaamini kuwa idadi halisi ni kubwa zaidi
 
India kwa kubakana wanaongoza katika dunia. Ndio maana uislamu unataka watoto wazuri wajifunike na wasioneshe uzuri wao kwa kila mtu. Wengine hawana subiria. Huyo mtoto yawezekana ni mzuri sana halafu anajilegeza na kujifanya haogopi wanaume.
 
Suruhisho ya haya ni kuwaruhusu hata watembee uchi,,, kwani wakitembea uchi, wanaume wakozaea kuona papuchi, na ma-cowbell kwa urahisi watakuwa wakiona vitu hivyo n vya kawaida
 
Suruhisho ya haya ni kuwaruhusu hata watembee uchi,,, kwani wakitembea uchi, wanaume wakozaea kuona papuchi, na ma-cowbell kwa urahisi watakuwa wakiona vitu hivyo n vya kawaida
Unataka wanaume watembee wamedindisha
 
Watadindisha Mara 2 au 3,, kadiri siku zinavoenda watazoea tu
 
Back
Top Bottom