India imekataa Uturuki kujiunga BRICS

India imekataa Uturuki kujiunga BRICS

Record Man

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2023
Posts
525
Reaction score
876
India's stance is clear—BRICS is for nations aligned with peace and global progress, not those harboring terror sympathies. Blocking Turkey and Pakistan reaffirms our commitment to stability and growth. Kudos to the strong leadership of Hon Tundu Lissu and Mama Abdul mahela!
China , Pakistan na Turkey wanashirikiana kumpiga India , usione India wehu wa kukataa , Anachopitia Israel kwa sasa ndo anapitia India , kazungukwa na maadui wakubwa wawili Pakistan na China wanashirikiana kumkabili India kwenye jimbo la Kashmir , pia Uturuki yupo upande wa Pakistan kweny huo mgogoro
 
Kama vile Uturuki ilivyokuwa inazuia Sweden na Finland kujiunga NATO!
Hizo nchi zote zimeshajiunga na NATO recently, both sweden na finaland wamejiunga hawana hata miaka miwili, but yes ni kweli mwanzoni turkey waliwekea vikwazo
 
Ni kitu kimeshitusha wengi baada ya India kukataa uturiki kujiunga ndani ya brics, kwa sababu uturuki na Pakistan ni kitu kimoja.
Hata hivyo Pakistan nayo iliomba kujiunga ila India ilikataa.


View: https://x.com/TimesAlgebraIND/status/1849545656525803745?t=uHWcI-n4FR2iMTGmlxgAfw&s=19

Hata raisi wa china kamhauli PM MUDI


View: https://x.com/RandomTheGuy_/status/1849546122345447428?t=w0v4TIyRSSNNfFx9Q68sqQ&s=19

Sasa kama wameanza kutenga nchi nyingine mapema hii itafail sasa.
Ilipaswa wabebe watu ili mfumo wa malipo uwe na nguvu zaidi
 
Ni kitu kimeshitusha wengi baada ya India kukataa uturiki kujiunga ndani ya brics, kwa sababu uturuki na Pakistan ni kitu kimoja.
Hata hivyo Pakistan nayo iliomba kujiunga ila India ilikataa.


View: https://x.com/TimesAlgebraIND/status/1849545656525803745?t=uHWcI-n4FR2iMTGmlxgAfw&s=19

Hata raisi wa china kamhauli PM MUDI


View: https://x.com/RandomTheGuy_/status/1849546122345447428?t=w0v4TIyRSSNNfFx9Q68sqQ&s=19

Ili ujiunge na BRICS nilazima Hao walionzisha wakupende
 
Back
Top Bottom