Record Man
JF-Expert Member
- May 25, 2023
- 525
- 876
India's stance is clear—BRICS is for nations aligned with peace and global progress, not those harboring terror sympathies. Blocking Turkey and Pakistan reaffirms our commitment to stability and growth. Kudos to the strong leadership of Hon Tundu Lissu and Mama Abdul mahela!Nini maoni yako
Well turkey wanataka vyote, even NATO hawana relation nzuri na hao jamaa. Lazima akubali kuachia upande mmojaBRICS ipo ku-counter influence ya NATO. Turkey ni NATO member.
Uturiki Inataka kuwakomoa EU kwa sababu imezuiliwa kujiunga na Umoja wa Ulaya.BRICS ipo ku-counter maslahi ya NATO. Uturuki ni mwanachama wa NATO. Hapo inakuwaje?
Uturuki ni kama mwanamke Malaya malayaBRICS ipo ku-counter maslahi ya NATO. Uturuki ni mwanachama wa NATO. Hapo inakuwaje?
China , Pakistan na Turkey wanashirikiana kumpiga India , usione India wehu wa kukataa , Anachopitia Israel kwa sasa ndo anapitia India , kazungukwa na maadui wakubwa wawili Pakistan na China wanashirikiana kumkabili India kwenye jimbo la Kashmir , pia Uturuki yupo upande wa Pakistan kweny huo mgogoroIndia's stance is clear—BRICS is for nations aligned with peace and global progress, not those harboring terror sympathies. Blocking Turkey and Pakistan reaffirms our commitment to stability and growth. Kudos to the strong leadership of Hon Tundu Lissu and Mama Abdul mahela!
Hizo nchi zote zimeshajiunga na NATO recently, both sweden na finaland wamejiunga hawana hata miaka miwili, but yes ni kweli mwanzoni turkey waliwekea vikwazoKama vile Uturuki ilivyokuwa inazuia Sweden na Finland kujiunga NATO!
Sasa kama wameanza kutenga nchi nyingine mapema hii itafail sasa.Ni kitu kimeshitusha wengi baada ya India kukataa uturiki kujiunga ndani ya brics, kwa sababu uturuki na Pakistan ni kitu kimoja.
Hata hivyo Pakistan nayo iliomba kujiunga ila India ilikataa.
View: https://x.com/TimesAlgebraIND/status/1849545656525803745?t=uHWcI-n4FR2iMTGmlxgAfw&s=19
Hata raisi wa china kamhauli PM MUDI
View: https://x.com/RandomTheGuy_/status/1849546122345447428?t=w0v4TIyRSSNNfFx9Q68sqQ&s=19
Fala huyo Modi mtu anayeendekeza udini tu.Ni kitu kimeshitusha wengi baada ya India kukataa uturiki kujiunga ndani ya brics, kwa sababu uturuki na Pakistan ni kitu kimoja.
Hata hivyo Pakistan nayo iliomba kujiunga ila India ilikataa.
View: https://x.com/TimesAlgebraIND/status/1849545656525803745?t=uHWcI-n4FR2iMTGmlxgAfw&s=19
Hata raisi wa china kamhauli PM MUDI
View: https://x.com/RandomTheGuy_/status/1849546122345447428?t=w0v4TIyRSSNNfFx9Q68sqQ&s=19
Brazil nae kamkatalia Argentina asijiunge BRICS,huu Umoja upo kisiasa zaidi kuliko kiuchumi.Sasa kama wameanza kutenga nchi nyingine mapema hii itafail sasa.
Ilipaswa wabebe watu ili mfumo wa malipo uwe na nguvu zaidi
Ili ujiunge na BRICS nilazima Hao walionzisha wakupendeNi kitu kimeshitusha wengi baada ya India kukataa uturiki kujiunga ndani ya brics, kwa sababu uturuki na Pakistan ni kitu kimoja.
Hata hivyo Pakistan nayo iliomba kujiunga ila India ilikataa.
View: https://x.com/TimesAlgebraIND/status/1849545656525803745?t=uHWcI-n4FR2iMTGmlxgAfw&s=19
Hata raisi wa china kamhauli PM MUDI
View: https://x.com/RandomTheGuy_/status/1849546122345447428?t=w0v4TIyRSSNNfFx9Q68sqQ&s=19