India inatoa huduma bora ya afya au ni kipato cha Watanzania hakimudu gharama za kutibiwa mataifa mengine?

India inatoa huduma bora ya afya au ni kipato cha Watanzania hakimudu gharama za kutibiwa mataifa mengine?

Che Kadewele

New Member
Joined
Nov 7, 2022
Posts
2
Reaction score
1
Habarini wakuu, naomba kuelimishwa juu ya mada tajwa hapo juu. Tumezoea mara nyingi Watanzania wakikosa huduma fulani kwenye hospitali zetu za ndani basi kimbilio lao ni India, hii inamaanisha katika mataifa yote duniani India imekuwa namba moja kwenye masuala ya afya au vipato vya Watanzania wengi havimudu gharama za hospitali za mataifa mengine ambayo ni bora kuliko India?

Imekuwa kama desturi ya taifa sasa, maana hata ukitazama maigizo yetu ya sinema (bongo movies) mgonjwa akishindikana kutibiwa basi madaktari huwa wanashauri mgonjwa apelekwe India. Hata huku mtaani mjadala mkuu wa maswala ya afya basi hitimisho huwa ni India na sio taifa lingine.

Naomba nielimishwe juu ya hili, vipi hii tabia ya kukimbilia India kimatibabu ni ya Watanzania tu au India ni kimbilio la mataifa mengine ya kiafrika, Ulaya na American?

Natanguliza shukurani.
 
Habarini wakuu, naomba kuelimishwa juu ya mada tajwa hapo juu. Tumezoea mara nyingi Watanzania wakikosa huduma fulani kwenye hospitali zetu za ndani basi kimbilio lao ni India, hii inamaanisha katika mataifa yote duniani India imekuwa namba moja kwenye masuala ya afya au vipato vya Watanzania wengi havimudu gharama za hospitali za mataifa mengine ambayo ni bora kuliko India?

Imekuwa kama desturi ya taifa sasa, maana hata ukitazama maigizo yetu ya sinema (bongo movies) mgonjwa akishindikana kutibiwa basi madaktari huwa wanashauri mgonjwa apelekwe India. Hata huku mtaani mjadala mkuu wa maswala ya afya basi hitimisho huwa ni India na sio taifa lingine.

Naomba nielimishwe juu ya hili, vipi hii tabia ya kukimbilia India kimatibabu ni ya Watanzania tu au India ni kimbilio la mataifa mengine ya kiafrika, Ulaya na American?

Natanguliza shukurani.
India wameadvance kwenye matibabu na gharama zao ni rafiki.

Siyo matibabu tu, hata Vodaphone UK customer care wame-outsource India.

India ni number one duniani kwa computer hardware.

Kwa kifupi India wapo vizuri.
 
Nasubiria kuona matokeo ya surgery ya mjane wa kanumba
 
Nasubiria kuona matokeo ya surgery ya mjane wa kanumba
Hayo mambo madogo sana, India wanadeal na issue ngumu hata Marekani bado hawana Tiba.

Kuna tatizo la macho linaitwa renititis pigmentosa dunia nzima hakuna tiba, ila kuna eye hospital India tayari wamegunduwa Tiba yake, nilikuwa namfanyia appointment na viza letter jamaa yangu anateswa na huu ugonjwa.
 
Hayo mambo madogo sana, India wanadeal na issue ngumu hata Marekani bado hawana Tiba.

Kuna tatizo la macho linaitwa renititis pigmentosa dunia nzima hakuna tiba, ila kuna eye hospital India tayari wamegunduwa Tiba yake, nilikuwa namfanyia appointment na viza letter jamaa yangu anateswa na huu ugonjwa.
Wako Vzr sana
 
Hayo mambo madogo sana, India wanadeal na issue ngumu hata Marekani bado hawana Tiba.

Kuna tatizo la macho linaitwa renititis pigmentosa dunia nzima hakuna tiba, ila kuna eye hospital India tayari wamegunduwa Tiba yake, nilikuwa namfanyia appointment na viza letter jamaa yangu anateswa na huu ugonjwa.
Taratibu zikoje ili kumpeleka mgonjwa India...Wanapokea bima zozote? gharama za hospital na malazi zinapatikanaje na hospital zipo miji ipi?
 
Back
Top Bottom