India: Polisi wawachapa watu wanaotembea nje wakati huu wa Corona

Display Name

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2014
Posts
423
Reaction score
451
Ili kupambana na usambaaji wa Virusi vya Corona Serikali ya India ilizuia watu kutoka nje.

Kwenye video hii polisi wanaonekana kuchapa watu waliowakuta wakitembeatembea nje na kuwapa adhabu mbalimbali kwa kukosa utii

Source: abcworldnewstonight

Your browser is not able to display this video.
 
Hali mbovu, ukitoka nje unapokea kichapo mchana kweupe, iwe wewe maskini au tajiri, kaa ndani aidha ufie humo au ujipange....

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…