Kuna siku walikula futari ambayo watu walikuwa wanamalizia kusali msikitini ili wapige msosi. Yaani Nyani waliwa-time waislam. Walichokifanya hawakuwapiga wala kuwafukuza, walienda kwenye temple ambayo mungu wao ni nyani kuwapa taarifa. Waumini wa mungu nyani walifurahi sana kuona mungu wao wanakula. Walilipa gharama ya msosi wote.