India: Wafanyabiashara waomba WhatsApp na Facebook vizuiwe kutokana na sera mpya

India: Wafanyabiashara waomba WhatsApp na Facebook vizuiwe kutokana na sera mpya

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Shirikisho la Wafanyabiashara wa India (CAIT) limeiomba serikali izuie mtandao wa WhatsApp, Facebook na Facebook Messenger kutokana na sera mpya ya Faragha.

Wafanyabiashara wamemuandikia Waziri wa Habari na Teknolojia kuwa India inawatumiaji zaidi ya milioni 200 hivyo kuchukua taarifa zao kwa matumizi ni hatari kwa uchumi wa nchi.

Aidha wamesema kuchukua taarifa za manunuzi na taarifa nyingine sio mbaya tu kwa uchumi bali pia kwa usalama wa nchi unaweza kuwa mashakani

CAIT wamesema sera mpya ya faragha ya WhatsApp inakiuka misingi ya faragha na ipo kinyume na masuala ya msini kwenye Katiba ya India.

=======

Traders' body CAIT on Sunday wrote to Information and Technology Minister Ravi Shankar Prasad demanding that the government restrict WhatsApp from implementing its new privacy policy or impose a ban on the messaging app and its parent company Facebook. The Confederation of All India Traders (CAIT) claimed that through the new privacy policy, "all kinds of personal data, payment transactions, contacts, location and other vital information of a person who is using WhatsApp will be acquired by it and can be used for any purpose by WhatsApp".

In the communication to Prasad, CAIT has demanded that "government should immediately restrict WhatsApp from implementing the new policy or put a ban on WhatsApp and its parent company Facebook", the traders' body stated.

CAIT said Facebook has more than 200 million users in India and enabling it to access data of every user can pose serious threat to not only the economy but even to the security of the country.

However, in an email response to , a WhatsApp spokesperson said, "To further increase transparency, we updated the privacy policy to describe that going forward businesses can choose to receive secure hosting services from our parent company Facebook to help manage their communications with their customers on WhatsApp.

"Though of course, it remains up to the user whether or not they want to message with a business on WhatsApp."

The spokesperson further said that the update does not change WhatsApp's data sharing practices with Facebook and does not impact how people communicate privately with friends or family wherever they are in the world.

"WhatsApp remains deeply committed to protecting people's privacy. We are communicating directly with users through WhatsApp about these changes so they have time to review the new policy over the course of the next month," the spokesperson added.

An email sent to Facebook seeking comment on the issue did not elicit a response.

CAIT Secretary General Praveen Khandelwal said, "The changed privacy policy of WhatsApp is an encroachment on privacy of an individual and runs against the basic fundamentals of Constitution of India and therefore the CAIT has demanded immediate intervention of the government."
 
Mambo sasa iko app ya Signal nimeinstall sema sina members kudadeki upweke kwenda mbignal itachelewa kidogo kuwa na watumiaji wengi nchini

Mambo sasa iko app ya Signal nimeinstall sema sina members kudadeki upweke kwenda mbele.
Anza na Telegram, Signal itachelewa kidogo kuwa na watumiaji wengi nchini
 
Back
Top Bottom