Indiaโ€™s national airline set to start direct flights to Nairobi

Ukijilinganisha na KQ utaumia kaka. Kq inacheza ligi international Yani New York, Beijing, London and the likes. Nyinyi hata Kampala bado hamjaanza na mnapayuka hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
You mean International Loss making airlines league? Hatueki route just because we need to be known we fly to certain destination, tunaweka route ambayo tunaona ina potential nzuri.

Unajisifia unakwenda USA wakati upo hoi ICU? LOL!
 
Umeskia wapi Kq wakilalamika? Hasara ni nyinyi na hizo ndege zenu useless. Ndege ya Uganda inaanza kusafiri Nairobi Kwanza na nyinyi uwivu imewakimbiza Kampala [emoji23][emoji23][emoji23] Start with the main hub Nairobi ndio ndio mjulikane.
yaan nairobi ni main hub kwa kitu gani bro ... kumbuka hapa TZ ndege zimenunuliwa kimkakati zaidi sio mapambo yale ww...kampala wanasababu ya kuja huko
 
Then..usisahau uchawi...hyo mko namba moja duniani
kwa hiyo ww unataka kutuambia huko nchi ya wala watu hamnaga uchawi au unataka tukuletee ushahidi ambao utakuvua nguo na kuumbuka ? kama unasema hamna comment with capital letter
 
Wewe...wacha maneno mengi...kw uchawi mnaongoza duniani..full stop.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kwa hiyo ww unataka kutuambia huko nchi ya wala watu hamnaga uchawi au unataka tukuletee ushahidi ambao utakuvua nguo na kuumbuka ? kama unasema hamna comment with capital letter
 
kwa hiyo ww unataka kutuambia huko nchi ya wala watu hamnaga uchawi au unataka tukuletee ushahidi ambao utakuvua nguo na kuumbuka ? kama unasema hamna comment with capital letter
 
Wewe...wacha maneno mengi...kw uchawi mnaongoza duniani..full stop.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
SIKU NITAKULETEA USHAHIDI WA KICHAWI WA WANA 254 MTAUMBUKA HUMU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ