Indonesia imepiga marufuku uuzaji na matumizi ya iPhone 16 na Apple Watch Series 10

Indonesia imepiga marufuku uuzaji na matumizi ya iPhone 16 na Apple Watch Series 10

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Indonesia imepiga marufuku uuzaji na matumizi ya iPhone 16 na Apple Watch Series 10 kutoka Apple kutokana na kampuni hiyo kushindwa kutimiza ahadi za uwekezaji. Serikali ya Indonesia imesema kuwa Apple haijatekeleza ahadi zake za kifedha, jambo lililosababisha uamuzi huo.
1730185474602.png
Kampuni hiyo ya teknolojia ilikuwa imeahidi kuwekeza dola milioni 109 katika miundombinu ya ndani, lakini ikapungukiwa na takriban dola milioni 14.

Kutokana na kutotimiza ahadi hizo, Indonesia imekataa ku-renew cheti cha Apple cha maudhui ya ndani, na hivyo kufanya kuwa kinyume cha sheria kuuza au kutumia vifaa hivyo nchini humo.

Pia, Soma:
 

Attachments

  • 1730185412539.png
    1730185412539.png
    760.5 KB · Views: 4
😂😂 Nchi masikini wana nongwa sana, wameamua kususa kwa kutumia sheria zao kama nchi
 
😂😂 Nchi masikini wana nongwa sana, wameamua kususa kwa kutumia sheria zao kama nchi
Indonesia sio nchi masikini,labda ulikua hujui tu,

Indonesia ipo kwenye G20 group of the World's richest nations,main export yao ni Crude oil na Gas,pia ni wazalishaji wa Rubber,Coffee na Cocoa,Indonesia ndio the region's biggest economy.
 
Indonesia masikini au ulikua msukule ndo umepata fahamu leo
Nilikuwa sina akili 😂 anyway Mbona wanalilia Pesa za misaada ya miundombinu

Indonesia sio nchi masikini,labda ulikua hujui tu,

Indonesia ipo kwenye G20 group of the World's richest nations,main export yao ni Crude oil na Gas,pia ni wazalishaji wa Rubber,Coffee na Cocoa,Indonesia ndio the region's biggest economy.
Mbona wanalilia pesa za misaada
 
😂😂 Nchi masikini wana nongwa sana, wameamua kususa kwa kutumia sheria zao kama nchi
Ukiona mtu anasusa dola 14M wakati anaweza kupata zingine (109-14)M, basi huyo ni bonge la tajiri - kama si wa mali basi maarifa.

Je, Tanzania tuna huo ubavu wa kuwasusia wawekezaji matapeli wa madini, bandari, vyanzo vya maji, mbuga na hata uchimbaji wa chuma Mchuchuma na gesi Gesigesini?
 
😂😂 Nchi masikini wana nongwa sana, wameamua kususa kwa kutumia sheria zao kama nchi
Indonesia wana Sheria ili uuze simu nchini kwao basi asilimia 30 ya hio simu uwekezaji wake uwe umefanyika Indonesia. Sheria iliwekwa 2015 na kampuni zote kubwa Samsung, Xiaomi, BBK etc wana viwanda Indonesia na wanatumia Local resources. Iphone 6 ilishindwa kutimiza at that time ikala ban, na hii naona imekula ban.

Na hii sheria haipo exclusive Indonesia tu nchi zote kubwa zenye watu wengi wana hizi sheria, Iphone zinatengenezwa India na China sababu hii, so Indonesia na wao wanataka Keki sababu nchi yao ni kubwa na ina watu wengi.
 
😂😂 Nchi masikini wana nongwa sana, wameamua kususa kwa kutumia sheria zao kama nchi
Unajua kuwa google ipo kukupa taarifa, hebu fanya research kwanza kabla ya kubwatuka.
Indonesia maskini?😀😀😀😀😀

  • Nominal GDP
    Indonesia is ranked 16th in the world by nominal GDP in 2024, with an estimated GDP of $1.47 trillion.
 
Ukiwa na pesa unakuwa na jeuri ya kumdinidishia mtu yeyote yule.

Sisi huku kila kukicha wachina wanakuja kutupa takataka halafu hatujali wala nini.
 
Ningekuwa karibu na baadhi ya watu hapa wangenitoa roho, watu mmeshiba mnaanza kunichangamkia mm 😂
 
Back
Top Bottom