Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Majira ya saa 6 za mchana (sawa na saa 10 jioni Indonesia), vijana wa Taifa Stars watamenyana na timu ya Taifa ya Indonesia katika mechi ya kirafiki.
Uwanja ni ule ule GBK Madya Stadium (Gelora Bung Karno Madya Stadium) uliopo Jakarta, wenye capacity ya watu elfu 9 tu, ambao ulifunguliwa December 1961 wakati sisi tunaachana na Mkoloni.
Ikumbukwe, Tanzania tupo nafasi ya 119 katika rank ya FIFA, wakati Indonesia wapo nafasi ya 134.
Matokeo ya mechi 5 zilizopita katika izo team mbili haya hapa:
Kila lakheri Taifa Stars.
Naamini Azam wataonesha.
Uwanja ni ule ule GBK Madya Stadium (Gelora Bung Karno Madya Stadium) uliopo Jakarta, wenye capacity ya watu elfu 9 tu, ambao ulifunguliwa December 1961 wakati sisi tunaachana na Mkoloni.
Ikumbukwe, Tanzania tupo nafasi ya 119 katika rank ya FIFA, wakati Indonesia wapo nafasi ya 134.
Matokeo ya mechi 5 zilizopita katika izo team mbili haya hapa:
Kila lakheri Taifa Stars.
Naamini Azam wataonesha.