Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
Kwa mitazamo kama hii mtapigika sana, mkija shtuka arobaini is around the corner!Ladies nawashauri chagueni wanaume wenye hela, [HASHTAG]#Infact[/HASHTAG] hakuna mwanaume MWAMINIFU
My dear ni afadhali kutoa machozi ndani ya BMW kuliko juu ya baiskeli
.....[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]
Acha kudanganya wenzio... kama ww hujawah kupata mwanaume mwenye true love.. kaoge na magadi.Ladies nawashauri chagueni wanaume wenye hela, [HASHTAG]#Infact[/HASHTAG] hakuna mwanaume MWAMINIFU
My dear ni afadhali kutoa machozi ndani ya BMW kuliko juu ya baiskeli
.....[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]
Yes ni bora kbsaMmmh
Tusifikie huko jamaniYes ni bora kbsa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa huu usawa wa baba koromije hata wenye hela hawajulikaniki walipo
Haaa maisha mafupiTusifikie huko jamani
Shem ndiyo ukubali hakuna mwanaume mwaminifu..Haaa maisha mafupi
Uwiii Stun wangu hayupo hapo kwenye list yakoShem ndiyo ukubali hakuna mwanaume mwaminifu..
[emoji57][emoji57]
Pesa sawa mtu usiolewe pakavu..
Aah mimi sikushauri wewe nawashauri watakaosoma wewe tulishakuchukua hufurukutiUwiii Stun wangu hayupo hapo kwenye list yako
Mkuu,nilidhan utasema"aseeh"kama kawaida yakoMmmh
Kuna shemeji yangu niliona kakoment hapo sikumwelewa elewa...mmh ikahusikaMkuu,nilidhan utasema"aseeh"kama kawaida yako
Sawa shem duuuhAah mimi sikushauri wewe nawashauri watakaosoma wewe tulishakuchukua hufurukuti