ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mmmh sijui Sasa mbona kama anakuja kuwa kivuruge maana Kuna uzi alitamka yeye Ni dereva wa uber.Jf si unaijua lakini sote Ni multipurpose kote tumo kwa hiyo sishangaiKuwa na heshima mkuu !! Kuna uzi nilipitia nimeona kaandika ni mfanyakazi wa bank.
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Hakika !! Ngoja aje atuprove hapaMmmh sijui Sasa mbona kama anakuja kuwa kivuruge maana Kuna uzi alitamka yeye Ni dereva wa uber.Jf si unaijua lakini sote Ni multipurpose kote tumo kwa hiyo sishangai
Nilifanya kazi BANK mwaka mmoja kisha nikaacha mwaka 2013 nikaingia rasmi mtaaniMmmh sijui Sasa mbona kama anakuja kuwa kivuruge maana Kuna uzi alitamka yeye Ni dereva wa uber.Jf si unaijua lakini sote Ni multipurpose kote tumo kwa hiyo sishangai
Mwaka 2013 niliacha kazi BANK kisha nikaingia rasmi mtaaniKuwa na heshima mkuu !! Kuna uzi nilipitia nimeona kaandika ni mfanyakazi wa bank.
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Asante kwa ufafanuziMwaka 2013 niliacha kazi BANK kisha nikaingia rasmi mtaani
Sawa mkuuAsante kwa ufafanuzi
Wahusika wakiniona kuwa ninafaa watanipa hiyo fursa ya kuitumikia nchi yangukwa hiyo, hiyo nafasi unaitaka au ndege John akaedit barua????????
Asante brother
Mungu angetaka mimi na wewe tuzaliwe Marekani asingeshindwa, ila ameamua tuzaliwe Tanzania kwa maana ana makusudi mema na sisi juu ya nchi hii.Huyu ndugu yangu anaipenda sana nchi yake.
Kuna N.B ya kila uzi wake ile ya "Ipende nchi yako ....."
????? 🚦🚦🚦Bwana mdogo movies na mastories ya KGB sijui FSB yameshakuvuruga, Umejikomba komba sana kuandika nyuzi za intelligence with multiple IDs sasa umeona kama system haikuoni wala haina time na wewe mana uko too theoretically, nakushauri tafuta kazi ambayo itakuendeshea maisha yako sio kuwaza mambo ya usalama
Boss unanishauri mimi au nani mwingine?Bwana mdogo movies na mastories ya KGB sijui FSB yameshakuvuruga, Umejikomba komba sana kuandika nyuzi za intelligence with multiple IDs sasa umeona kama system haikuoni wala haina time na wewe mana uko too theoretically, nakushauri tafuta kazi ambayo itakuendeshea maisha yako sio kuwaza mambo ya usalama