Phone4Sale Infinix hot 10 LITE inauzwa

Phone4Sale Infinix hot 10 LITE inauzwa

SOWETO_MAN

Member
Joined
May 4, 2021
Posts
69
Reaction score
32
Habarini muda huu wana jukwaa.

Lengo na dhumuni la thread hii ni kuwajulisha wale wote walio na uhitaji wa kutumia simu janja aina ya Infinix hot 10 huu ndio wakati wao.

  • Simu ni used kwa muda wa miezi minne na ipo katika excellent conditions.
  • Specifications zake: Ram ya 4, Storage ya 32, Camera ya Megapixels ya 13
  • Nahitaji 280,000 tu.
  • Kwa mawasiliano zaidi 0763797102.
  • Location ni Dodoma Mjini
IMG_20211130_004725.jpg


Karibuni
 
Sehemu na sehemu mkuu....Kwa mfano Dar simu ni bei rahisi kulinganisha na zikifika huku mikoani bei zake ni tofauti kabsa
Tofauti ni kubwa sanaaa bei haziwezi kutofautiana kwa kwa margin kubwa kiasi icho.
 
Tofauti ni kubwa sanaaa bei haziwezi kutofautiana kwa kwa margin kubwa kiasi icho.
Mkuu mm Nilichukua Samsung galaxy grand prime+ huku Dom kwa 280K ,,,Dar nikaulizia kweny duka moja pale Msimbazi street wakanambia bei ya kuuzia ni 250K...Dom bei ya kuuzia ilikuwa hyo 280K!
 
Back
Top Bottom