Inflation iliyopo sasa Tanzania

Tecno_one

Member
Joined
Sep 14, 2016
Posts
34
Reaction score
16
Wakuu poleni kwa majukumu yakila siku iko hivi mwaka Jana nilikua na plan zakufungua biashara lakini kutokana na changamoto za hapa na pale nilishindwa, lkn Mungu mwema nimejitahidi mwaka huu naona kamtaji kangu kametimia lakini wasiwasi wangu ni juu ya huu mfumko wa bei uliopo hapa nchini kwa sasa, Je utaruhusu biashara kusimama au Kufanikiwa?
Ushauri please! Nawasilisha[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…