Nyamuleha jr
Senior Member
- Feb 20, 2013
- 185
- 65
Hueleweki!Nimafanikio makubwa kupunguza 9% ya mfumuko wa bei hayo yalisemwa bungeni kipindi cha mkapa inflation ilikuwa 5%
Nimafanikio makubwa kupunguza 9% ya mfumuko wa bei hayo yalisemwa bungeni kipindi cha mkapa inflation ilikuwa 5%
Nimafanikio makubwa kupunguza 9% ya mfumuko wa bei hayo yalisemwa bungeni kipindi cha mkapa inflation ilikuwa 5%
Imeshuka wapi? Tanzania hii? Inflation maana yake ni mfumuko wa bei ya bidhaa zinazotumiwa nara kwa mara yaani "consumer products" Sasa bei za bidhaa hizi ilishuka lini?
Hueleweki!
Tulia uwasilishe thread ambayo inaweza kujadiliwa!
Imeshuka wapi? Tanzania hii? Inflation maana yake ni mfumuko wa bei ya bidhaa zinazotumiwa nara kwa mara yaani "consumer products" Sasa bei za bidhaa hizi ilishuka lini?
Hii itareflect kwa wakubwa pekee .......... ila sie wapanda daladala, waendao gengeni bado tupo na inflation yetu ya takribani 30% wala sio 19.5%
Imeshuka wapi? Tanzania hii? Inflation maana yake ni mfumuko wa bei ya bidhaa zinazotumiwa nara kwa mara yaani "consumer products" Sasa bei za bidhaa hizi ilishuka lini?
kilichoshuka siyo bei bali kiwango cha upandaji wa bei. Mfano bei ya mchele april 2012 tsh 1000, iwapo inflation rate ni 19.5 maana yake bei april 2013 ni tsh1195. Inflation rate ikiwa 10% ina maana bei tsh 1100 april 2013.