LOVINTAH GYM
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 459
- 653
INFLATION
Hiki ni kipindi ambacho thamani ya pesa inashuka kutokana na bei ya bidhaa ambazo ni muhimu (necessity goods) kupanda.
Vyanzo vya mfumuko wa bei.
1. Ongezeko la ajira
Kuongezeka kwa ajira kutasaidia watu kuweza kujitegemea na kuweza kupata kipato. Kipato kikiwa kikubwa basi itasaidia wewe kuweza kununua vitu ambavyo ulikuwa hauna uwezo wakukinunua kabla, na kama mnavyokumbuka when demand increase and supply is constant , it will cause increase in price.
2. Sheria za nchi
Kama serikali ikiweka vikwazo katika uzalishaji wa bidhaa flani, basi hii itafanya kuwe na mfumuko wa bei.
Mfano: Ruzuku zinazotolewa na serikali kwa wakulima zikiacha kutolewa zitasababisha bidhaa za kilimo kupanda bei.
3. Nchi ikiwa na madeni
Nchi ikiwa na madeni mara nyingi itaongeza kodi kwa wafanya biashara ili nchi iweze kulipa madeni yake, kodi zikiongezeka wafanyabiashara wataongeza bei ili waweze kulipa kodi na kuendelea na biashara bila kula hasara.
4. Misimu
Kuna bidhaa ambazo ni za msimu, kwahiyo kama sio msimu wake ni lazima zitapanda bei.
5. Ongezeko la thamani ya fedha za kigeni
Mfano: USD ikipanda, hii itafanya bidhaa zinazoletwa nchini kutoka nchi nyengine kuwa na gharama kubwa, kwahiyo bei ya hizo bidhaa lazima ipande.
Karibuni sana kutoa maoni kuhusu kulipuka kwa bei.
#uchumi #inflationInflation, Ong
Hiki ni kipindi ambacho thamani ya pesa inashuka kutokana na bei ya bidhaa ambazo ni muhimu (necessity goods) kupanda.
Vyanzo vya mfumuko wa bei.
1. Ongezeko la ajira
Kuongezeka kwa ajira kutasaidia watu kuweza kujitegemea na kuweza kupata kipato. Kipato kikiwa kikubwa basi itasaidia wewe kuweza kununua vitu ambavyo ulikuwa hauna uwezo wakukinunua kabla, na kama mnavyokumbuka when demand increase and supply is constant , it will cause increase in price.
2. Sheria za nchi
Kama serikali ikiweka vikwazo katika uzalishaji wa bidhaa flani, basi hii itafanya kuwe na mfumuko wa bei.
Mfano: Ruzuku zinazotolewa na serikali kwa wakulima zikiacha kutolewa zitasababisha bidhaa za kilimo kupanda bei.
3. Nchi ikiwa na madeni
Nchi ikiwa na madeni mara nyingi itaongeza kodi kwa wafanya biashara ili nchi iweze kulipa madeni yake, kodi zikiongezeka wafanyabiashara wataongeza bei ili waweze kulipa kodi na kuendelea na biashara bila kula hasara.
4. Misimu
Kuna bidhaa ambazo ni za msimu, kwahiyo kama sio msimu wake ni lazima zitapanda bei.
5. Ongezeko la thamani ya fedha za kigeni
Mfano: USD ikipanda, hii itafanya bidhaa zinazoletwa nchini kutoka nchi nyengine kuwa na gharama kubwa, kwahiyo bei ya hizo bidhaa lazima ipande.
Karibuni sana kutoa maoni kuhusu kulipuka kwa bei.
#uchumi #inflationInflation, Ong