bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Mtandao mpendwa wa Jamii Forum ungekua ni Serikali ukaambiwa uchague Members kutoka humu watengeneze hiyo serikali
Ungependelea watu gani kutoka humu washike Nafasi Hizi ?
Raisi.
Makamu Wa Raisi.
Waziri Mkuu.
Waziri Wa Mambo Ya Nje&Ushirikiano wa Kimataifa.
Waziri wa Elimu.
Waziri Wa Afya.
Waziri Wa Michezo na Sanaa.
Waziri Wa Ulinzi na mambo Ya Ndani.
Waziri Wa Viwanda...nk
Tume Ya Uchaguzi ni Huru na Haki kabisa hakutakua na figisufigisu katika kuhesabu na Kutoa Matokeo
Welcome
Ungependelea watu gani kutoka humu washike Nafasi Hizi ?
Raisi.
Makamu Wa Raisi.
Waziri Mkuu.
Waziri Wa Mambo Ya Nje&Ushirikiano wa Kimataifa.
Waziri wa Elimu.
Waziri Wa Afya.
Waziri Wa Michezo na Sanaa.
Waziri Wa Ulinzi na mambo Ya Ndani.
Waziri Wa Viwanda...nk
Tume Ya Uchaguzi ni Huru na Haki kabisa hakutakua na figisufigisu katika kuhesabu na Kutoa Matokeo
Welcome