Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,527
- 5,762
Umeingia kwenye usafiri wetu huu mnauita wa Umma, au kwa kimombo Public Transport. Umekaa kwenye kiti mwanaume unatafakari ya hapa na pale ya maisha yako huku ukisubiria gari ijaze abiria ili muweze kuondoka.
Ghafla anaingia mdada wa haja, mrembo, kajazia vya kujaza, kiuno kama nyigu, mweupe si mweupe, mweusi so mweusi, halafu kama kuna mixture Fulani hivi ya ushombeshombe kwa mbaaali, kwa ufupi ni mzuri, unaishia kula kwa macho na kuguna tu
Basi bwana, gari ishajaza abiria, konda naye kashagonga utingo na kelele juu kumpa signo dreva alianzishe, sasa njiani bwana huku ukiendelea kuwaza na kuwazua mrembo anatoa simu yake kwenye pochi, na inaonekana yuko bize kweli sasa tabia yetu wabongo haswa kwenye usafiri wetu wa umma kutupia jicho simu ya mwingine kuona anachoangalia ama kuandika msg na kusoma
Basi unatupia jicho, ghafla unaona bidada anaangalia video za sex
Wewe kama mwnaaume utachukua hatua gani
Ghafla anaingia mdada wa haja, mrembo, kajazia vya kujaza, kiuno kama nyigu, mweupe si mweupe, mweusi so mweusi, halafu kama kuna mixture Fulani hivi ya ushombeshombe kwa mbaaali, kwa ufupi ni mzuri, unaishia kula kwa macho na kuguna tu
Basi bwana, gari ishajaza abiria, konda naye kashagonga utingo na kelele juu kumpa signo dreva alianzishe, sasa njiani bwana huku ukiendelea kuwaza na kuwazua mrembo anatoa simu yake kwenye pochi, na inaonekana yuko bize kweli sasa tabia yetu wabongo haswa kwenye usafiri wetu wa umma kutupia jicho simu ya mwingine kuona anachoangalia ama kuandika msg na kusoma
Basi unatupia jicho, ghafla unaona bidada anaangalia video za sex
Wewe kama mwnaaume utachukua hatua gani